Ngao ya Jamii, Tanzania: Simba SC na Yanga SC, nani kuibuka mshindi?

Ngao ya Jamii, Tanzania: Simba SC na Yanga SC, nani kuibuka mshindi?

Harusi ya sembo na Nifah ni kesho?..
Refa anachezesha mpira wa Simba Vs Yanga.
Ajibuba afunga goli halari kabisa,
Refa analikataa. (washabiki wa Simba sc wanamvumilia)
Tambwe anaifunga Simba goli la haramu la mkono.
Refa analikubali (mashabiki wa Simba wanavumilia)
Refa anaamua kuumpa mkude kadi nyekundu na kumtoa nje ya uwanja bila kosa lolote.
(hapo mashabiki wanashindwa kuvumilia)
Wanakasirika na kuanza kuvunja viti.
Kuna baadhi ya waliokuwa wafadhiri wa Yanga na viongozi wa TFF walikuwa wanahakikisha Simba inahujumiwa kila mechi na Yanga inashinda kila mechi. Kumbuka mechi ya FA kati ya Yanga na Costal Union uwanja wa Mkwakwani mwaka 2015.
Mimi nakuambia ingekuwa Yanga ndio wamefanyiwa hayo mambo, ule uwanja ungekuwa majivu siku ile.
Kumbuka ile mechi na Azamu Refa alimpa kadi nyekundu ya halari mchezaji wa Yanga na Wachezaji waliamua kuchapa makonde Refa.
Au kumbuka mechi ya Fainari ya Kombe la Afrika mashariki nimeusahau mwaka kama 2010 vile, Yanga ililala goli moja na URA ya uganda.
Uwanja wa Taifa lile vurugu lake lilikuwa kubwa sana ndani na nje ya uwanja, mageti yalivunjwa na ilibidi FFU waingilie kati, ilikuwa kama vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Mashabiki wa Yanga wana hasira na fujo kuliko wa Simba.
offside ni linesman,sio refa wa kati
 
Team ya wananchi na Team ya Salma Imam Mbaruk kutoka uarabuni

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Back
Top Bottom