Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aaah ! Wapi !Mama CHATANDA anaitifuatifua CHADEMA sio mchezo yaani Kila akitifua anang'oa CHADEMA na kupanda mbegu ya CCM.
Naona umeamua kubishana na ukweli mchungu lakini ni ukweli walikuwa na wanaCHADEMA na Sasa ni wanaCCM
Katika Hali ya kawaida kijola ni Mali ya Chama? Yaani mwanaCCM akihamia ACT anarudisha na shati lake la rangi ya kijani?Mwenyekiti wa UWT inayodaiwa kuwa ni Jumuiya ya Wanawake ya CCM , Marry Chatanda ameingizwa Mkenge huko Ngara , baada ya kukusanyiwa watu wa soko la Ngara na kuelezwa kwamba ni Wanachama wa Chadema walioacha chama chake chao na kuhamia ccm.
Katika Utapeli huo Chatanda amekabidhiwa Vitambaa kadhaa na vijora viwili vilivyofana na bendera na sare za Chadema .
Ukweli ni kwamba Hakuna Mwanachama yeyote wa Chadema Ngara aliyehamia ccm , hizi ni Sarakasi za Chatanda na wapambe wake
View attachment 2772698View attachment 2772699
ππππππ
Yaani mtu mwenye akili timamu unahamia CCM!!?Mama CHATANDA anaitifuatifua CHADEMA sio mchezo yaani Kila akitifua anang'oa CHADEMA na kupanda mbegu ya CCM.
Naona umeamua kubishana na ukweli mchungu lakini ni ukweli walikuwa na wanaCHADEMA na Sasa ni wanaCCM
NgombeMama CHATANDA anaitifuatifua CHADEMA sio mchezo yaani Kila akitifua anang'oa CHADEMA na kupanda mbegu ya CCM.
Naona umeamua kubishana na ukweli mchungu lakini ni ukweli walikuwa na wanaCHADEMA na Sasa ni wanaCCM
Uliwahi kuona wapi vijora vinaitwa sare za chadema ?Leta proof ya madai yako..
Pole sana mnazidi kupungua kila muda ukifika..
πUliwahi kuona wapi vijora vinaitwa sare za chadema ?
[emoji1787][emoji1787]Leta proof ya madai yako..
Pole sana mnazidi kupungua kila muda ukifika..
[emoji1787][emoji1787]Naona Iringa/Njombe line imerudi kwa kasi huko CCM... Chatanda, Jokate, Lulandala, Chongolo wote wanatokea sehemu mpja!
Marry Chatanda (Standard Steven) Namfahamu Tangia Arusha Mpaka TangaMwenyekiti wa UWT inayodaiwa kuwa ni Jumuiya ya Wanawake ya CCM , Marry Chatanda ameingizwa Mkenge huko Ngara , baada ya kukusanyiwa watu wa soko la Ngara na kuelezwa kwamba ni Wanachama wa Chadema walioacha chama chake chao na kuhamia ccm.
Katika Utapeli huo Chatanda amekabidhiwa Vitambaa kadhaa na vijora viwili vilivyofana na bendera na sare za Chadema .
Ukweli ni kwamba Hakuna Mwanachama yeyote wa Chadema Ngara aliyehamia ccm , hizi ni Sarakasi za Chatanda na wapambe wake
View attachment 2772698View attachment 2772699