Masikrodinga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 226
- 68
To be honest, hayo yapo Yanga peke yake?
La Kaseja lipo wazi. Simba walimwacha kwa kushuka kiwango lakini nakiri viongozi Yanga walifanya makosa kumsajili. Kiwango chake ndio tatizo. Kumbuka mechi ya Yanga na Coast Union kule Tanga. Vinginevyo tuseme aliuza mechi lakini tusifike huko tuseme kiwango kimeshuka.
Ngasa pamoja na mapenzi yake kwa Yanga ni kielelezo cha soka la Tanzania. Si Yanga, Azam wala Simba. Viongozi wa timu zetu kongwe pamoja na Azam ambao ungetegemea wabadilike kutokana na umilika wa Club, bado wapo kwenye ujima wa namna ya kuendesha soka.
Tuone VPL mwaka huu itaisha vipi safari bado ni ndefu
Naona maneno ya Masuke yamekuingia na sasa umerudi kuongelea mpira badala ya ushabiki. Nilitaka kueleza mengi pia lakini naona Masuke ni kama amemaliza, hivyo nmeishia kumpa LIKE tu.