Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Wachezaji wenye matumaini ya kucheza nje ya nchi wahakikishe wanakuwa na kipengele cha kuwawezesha kupata timu ya nje kwenye mikataba yao.
Tatizo wakati wa ku sign hizi timu zetu kubwa Bongo, wakiwekewa hela mezani, tena cash kwenye kisandarusi kama cha ESCROW, akili yote inapotea! Hela zote hizo cash, hivi hawana account bank?
Wataishia kutoroka na kupata adhabu au kunyimwa nafasi hadi mikataba yao iishe. Ufumbuzi ingekuwa kupata mawakala lakini inaelekea hao nao matepeli wamejaa tele. Changanya na ukweli kwamba wachezaji wetu shule ilipita pembeni, basi ni balaa tupu.
Tatizo wakati wa ku sign hizi timu zetu kubwa Bongo, wakiwekewa hela mezani, tena cash kwenye kisandarusi kama cha ESCROW, akili yote inapotea! Hela zote hizo cash, hivi hawana account bank?
Wataishia kutoroka na kupata adhabu au kunyimwa nafasi hadi mikataba yao iishe. Ufumbuzi ingekuwa kupata mawakala lakini inaelekea hao nao matepeli wamejaa tele. Changanya na ukweli kwamba wachezaji wetu shule ilipita pembeni, basi ni balaa tupu.