Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Winga machachali wa club ya Dar Young African almaaruufu kama Yanga Mrisho Ngassa ameamua kusogeza jiko. Ngasa amemwoa Latifa shamla shamla za mnuso huo zilifanyika Dar es salaam maeneo ya Tabata.
Wengi katika mnuso huo walikuwa wanadai dogo kaoa akiwa na umri mdogo mno sijui wadau mnasemaje kwa hilo.

Ngasa anaonyesha ufundi wa malavi davi kwa Latifa

huyu ndo Latifa mwenyewe ustadhi Ngasa kashikilia my wife wake.

Sheikh,Maustadhi na wageni waalikwa wakimpongeza Ngasa.
Wengi katika mnuso huo walikuwa wanadai dogo kaoa akiwa na umri mdogo mno sijui wadau mnasemaje kwa hilo.

Ngasa anaonyesha ufundi wa malavi davi kwa Latifa

huyu ndo Latifa mwenyewe ustadhi Ngasa kashikilia my wife wake.

Sheikh,Maustadhi na wageni waalikwa wakimpongeza Ngasa.