Ngassa alikataa dili la bilioni 1.6 El Merreikh

Ngassa alikataa dili la bilioni 1.6 El Merreikh

kwa akili ya Ngasa hata leo ahitajike canada hawezi kwenda jamaa ni bwege sana ana amini kuichezea yanga akiwa ba dhiki ni bora na uzalendo mkubwa kuliko kuchuma pesa

ila kikubwa jamaa ni mfano wa watanzania wengi tulivyo waoga kutafuta fursa nje ya miji/mikoa/nchi yetu.

hapa namlaumu tu ila hata mimi nilisha lengeshewa dili kusoma nje ya nchi (afrika hapa hapa (Algeria) ila kwa uoga wa ile nchi kuwa ya kidini nikaogopa. aliye enda sa iv ana cheo kikubwa nimebaki ku like picha zake fb.
 
Lakini hiyo ishu ya vipimo sidhani kama ina mashiko sana, nakumbuka Ngasa alienda kucheza Marekani mpira ule ulioneshwa live na Itv kama sikosei, pia Ngasa alienda kufanya majaribio Ulaya? Je huko kote hakukuitajika vipimo? Mi nadhani tatizo kubwa la wachezaji wa bongo hawapo kibiashara wao wanajali mapenzi yao ya timu tu
Nakumbuka hiyo ya Marekani alicheza dhidi ya Man United

Huko Ulaya alienda West Ham naskia aliambiwa akaongeze lishe alikua dhaifu mno
 
Nakumbuka hiyo ya Marekani alicheza dhidi ya Man United

Huko Ulaya alienda West Ham naskia aliambiwa akaongeze lishe alikua dhaifu mno
Hilo la lishe na mimi nimeliona.

Kuna siku nimetoka zangu Unyamwezini nimekuja likizo Tanzania.

Sasa nimetoka zangu Mwanza nimetua airport Dar, nikakutana na wachezaji wa mpira wa miguu wanashuka kwenye ndege.

Sasa nishazoea kuona wachezaji wa Marekani wana miili mikubwa. Nikasema hawa wachezaji mbona miili yao midogo hivi? Hawa inawezekana ni wanafunzi wa shule ya sekondari au chuo. Labda wapo katika michezo yao ya UMISETA wameamua kupanda ndege. Nikasema tumeendelea siku hizi.

Nikajiuliza. Lakini inawezekana kibongobongo timu ya shule ikapanda ndege kwenda kwenye michezo?

Nikaambiwa hao ni wachezaji wa Yanga.

Hapo hapo nikaelewa sababu moja kubwa tunashindwa katika soka kimataifa.

Wachezaji wana lishe dhaifu.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alifichwa hotelini kupewa yule mwanamusic wa kike Snura ajiburudishe nae...wakati kama angekubali kuchukua hilo deal leo wangekuwa wanampapatikia mpaka leo..
Leo hii hao bongo movie hamna hata anayempapatikia kabakia kulialia kwenye mitandao.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Baada ya kusoma hili andiko mwanasport nikaona huyu Mchezaji ni mwehu na kuna wengi tu wa aina yake mfano Ajibu.

Nimekopi kama ilivyo kwenye gazeti la Mwanasport

MWAKA 2012 wakati wa Cecafa kule Uganda, niliupeleka ujumbe wa klabu ya El Merreikh ya Sudan ukiongozwa na ofisa habari wao, Idrissa Adelbagi Sheikh, kwenye kambi ya Tanzania Bara kufanya mazungumzo na Mrisho Ngassa.

Mazungumzo hayakwenda vizuri. Jamaa wakaondoka kurudi kwao Khartoum.

Baada ya mashindano wakaja Dar es Salaam na dau kubwa zaidi, dola ,000 na mshahara wa dola 5,000 kwa mwezi kwa Ngassa mwenyewe, na dola 100,000 kwa Azam Fc.

Siku hiyo Tanzania walikuwa wakicheza dhidi ya Somalia, Ngassa akafunga mabao 5 peke yake. Mwenyekiti El Merreikh kule Khartoum akapiga simu kusisitiza kwamba Ngassa lazima apatikane kwa vyovyote.

Jioni tukaonana na Ngassa na jamaa walikuwa na dau la dola 100,000 kwa Ngassa mwenyewe pamoja na mshahara wa dola 4,000 kwa mwezi, na dola 75,000 kwa klabu yake ya Azam FC.

Mazungumzo hayakwenda vizuri. Jamaa wakaondoka kurudi kwao Khartoum.

Baada ya mashindano wakaja Dar es Salaam na dau kubwa zaidi, dola 200,000 na mshahara wa dola 5,000 kwa mwezi kwa Ngassa mwenyewe, na dola 100,000 kwa Azam FC.

Azam FC ikakubali, lakini Ngassa mwenyewe hakupatikana. Tukaanza kumtafuta bila mafanikio.

Jamaa wakadhani Azam FC au mchezaji mwenyewe au wote wawili wanawafanyia uhuni...wakaongeza dau la dola 300,000 na mshahara hadi dola 6,000 kwa Ngassa, na dola 200,000 kwa klabu yake ya Azam FC.

Bado Ngassa hakupatikana. Mwenyekiti akapiga simu na kusema jamaa wasirudi bila Ngassa. Adelbagi akabaki hapa Dar es Salaam akihangaika na viongozi wa Azam FC na mimi kumtafuta Ngassa...bila mafanikio.

Baadaye akaondoka na kusema wameachana na mpango wa Ngassa.

Mimi binafsi nilihangaika sana kwa sababu waliniahidi dola 10,000 endapo mpango ungekamilika.

Kwa hiyo kujificha kwa Ngassa kulinivuruga mno kwa sababu kulinikosesha pesa nyingi sana.

El Merreikh walipoondoka, Ngassa akapatikana. Kumbe alikuwa amefichwa na Yanga kwenye hoteli ya Double Tree Hilton, Msasani Dar Es Salaam.

Lakini El Merreikh hawakukata tamaa. Wakanitumia tena mkataba mwingine wenye kipengele cha kumlipa Ngassa mshahara wake wote ambao wamekubaliana, endapo klabu ingeamua kuvunja mkataba katikati.

Nikamtafuta Ngassa na kuanza kuongea naye kumuelewesha maana ya mshahara wa dola 10,000 na dau la dola 400,000 la kusainia mkataba.

Wakati huo, dola moja ilikuwa sawa na Shilingi 1,800, kwa hiyo dola 10,000 ilikuwa sawa na Sh 18 milioni.

Nikam-wambia hiyo ni bei ya kununua kiwanja kilichopimwa, maeneo ya Mivumoni na Mbweni, ambacho wakati ule kilikuwa Sh. 15 milioni.

Kwa mkataba wake wa miaka 4, ilikuwa na maana kwamba angeweza kununua kiwanja kimoja kila mwezi na baada ya miezi 48, angekuwa na viwanja 48 katika maeneo ya kifahari ambayo baadaye

angeweza kuuza kwa bei mbaya sana.

Nikamuelewesha kuhusu kuwekeza kwa kununua dhamana za serikali. Nikamwambia dola 200,000 za kusainia mkataba, ukinunua dhamana za serikali, kila mwaka unapata mgawo wa 10%... sawa na dola 20,000.

Huo ulikuwa sawa na mshahara wake wa mwaka wa wakati huo akiwa Azam FC.

Tena hapo ilikuwa kabla signing fees haijapanda hadi Dola 300,000 na baadaye Dola 400,000.

Kiufupi, Ngassa katika miaka minne ya kucheza El Merreikh angeingiza mfukoni mwake Sh. 1.6 bilioni, hiyo ikiwa ni pesa ya kusaini mkataba na mishahara yake ya miezi 48. Hapo haujajumlisha na posho nyingine ambazo angepata kutokana na mafanikio ya timu.

Akanijibu, ‘tafuta pesa kwa nguvu zako, usitegemee nguvu zangu’.

Alinijibu hivyo baada ya kumueleza kwamba katika dili lile, mimi nilikuwa na dola elfu 10. Kwa hiyo akadhani nahangaikia maslahi yangu pekee bila yeye kufaidika.

Nikatafuta namba ya baba yake, mzee Khalfan Ngassa, na kumuelewesha haya mambo niliyokuwa namuelewesha mwanaye.

Mzee akasema yeye mwenyewe anasikia kwa watu tu...Mrisho hajawahi kumwambia hata mara moja.

Nikawajibu El Merreikh kwamba Ngassa hapatikani. Ndipo wakaangukia kwa Suleiman Ndikumana wa Burundi, ambaye kwenye ile Cecafa aliifungia Burundi bao moja dhidi ya Tanzania Bara, na kuisaidia timu yake kushinda 1-0.

Leo Ngassa analalamika Yanga hawamjali yeye mzawa...anasahau kwamba alipoteza nafasi yeye mwenyewe.

El Merreikh walikuwa tayari kumlipa pesa zote hizo na kumgharamia kila kitu kule Sudan (yaani hata angeshindwa kutamba angelipwa pesa zote).

Leo angekuwa na dola 400,000 kwenye dhamana ya serikali maana yake angekuwa na uhakika wa dola 60,000 kila mwaka (sawa na Sh. 11 milioni kila mwezi).

Asingekuwa mtu wa kuilalamikia Yanga, badala yake angekuwa mtu wa kuisaidia Yanga kama alivyokuwa akifanya Mwinyi Zahera.

Pole sana Ngassa. Ingekuwa busara ungeamua kusema hadharani namna ambavyo uliivuruga kesho yako wewe mwenyewe ili kizazi kinachoibukia kijifunze kutoka kwako.

ANDIKO NIMEKOPI GAZETI LA MWANASPORT

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo ya Boban akiwa Sweden na Kapombe Ufaransa. Tena hawa walikuwa tayari wapo huko. Sasa wakaumiss ugali na bangi.
 
Anaipenda sana yanga na hakufikiria maisha yake ya kesho,
pengine hakujua kama mpira ni biashara na sio mapenzi kwa club,
Hau pengine ni uzwazwa na kutojiamini,
Jinga kabisa huyu kijana,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.5 bln,jamaa kaongezea chumvi tu,el merreikh hawana hela kwa mchezaji wa kibongo,kwa mujibu wa huyo mwandishi el merreikh baada ya kushindwa kumpata ngasa ikabidi wamchukue ndiku,ndiku kwa sasa yuko azam hapo anasugua benchi,angefanya kutafuta muda akamuulize kama kule sudan alilipwa pesa hiyo
Baada ya kusoma hili andiko mwanasport nikaona huyu Mchezaji ni mwehu na kuna wengi tu wa aina yake mfano Ajibu.

Nimekopi kama ilivyo kwenye gazeti la Mwanasport

MWAKA 2012 wakati wa Cecafa kule Uganda, niliupeleka ujumbe wa klabu ya El Merreikh ya Sudan ukiongozwa na ofisa habari wao, Idrissa Adelbagi Sheikh, kwenye kambi ya Tanzania Bara kufanya mazungumzo na Mrisho Ngassa.

Mazungumzo hayakwenda vizuri. Jamaa wakaondoka kurudi kwao Khartoum.

Baada ya mashindano wakaja Dar es Salaam na dau kubwa zaidi, dola ,000 na mshahara wa dola 5,000 kwa mwezi kwa Ngassa mwenyewe, na dola 100,000 kwa Azam Fc.

Siku hiyo Tanzania walikuwa wakicheza dhidi ya Somalia, Ngassa akafunga mabao 5 peke yake. Mwenyekiti El Merreikh kule Khartoum akapiga simu kusisitiza kwamba Ngassa lazima apatikane kwa vyovyote.

Jioni tukaonana na Ngassa na jamaa walikuwa na dau la dola 100,000 kwa Ngassa mwenyewe pamoja na mshahara wa dola 4,000 kwa mwezi, na dola 75,000 kwa klabu yake ya Azam FC.

Mazungumzo hayakwenda vizuri. Jamaa wakaondoka kurudi kwao Khartoum.

Baada ya mashindano wakaja Dar es Salaam na dau kubwa zaidi, dola 200,000 na mshahara wa dola 5,000 kwa mwezi kwa Ngassa mwenyewe, na dola 100,000 kwa Azam FC.

Azam FC ikakubali, lakini Ngassa mwenyewe hakupatikana. Tukaanza kumtafuta bila mafanikio.

Jamaa wakadhani Azam FC au mchezaji mwenyewe au wote wawili wanawafanyia uhuni...wakaongeza dau la dola 300,000 na mshahara hadi dola 6,000 kwa Ngassa, na dola 200,000 kwa klabu yake ya Azam FC.

Bado Ngassa hakupatikana. Mwenyekiti akapiga simu na kusema jamaa wasirudi bila Ngassa. Adelbagi akabaki hapa Dar es Salaam akihangaika na viongozi wa Azam FC na mimi kumtafuta Ngassa...bila mafanikio.

Baadaye akaondoka na kusema wameachana na mpango wa Ngassa.

Mimi binafsi nilihangaika sana kwa sababu waliniahidi dola 10,000 endapo mpango ungekamilika.

Kwa hiyo kujificha kwa Ngassa kulinivuruga mno kwa sababu kulinikosesha pesa nyingi sana.

El Merreikh walipoondoka, Ngassa akapatikana. Kumbe alikuwa amefichwa na Yanga kwenye hoteli ya Double Tree Hilton, Msasani Dar Es Salaam.

Lakini El Merreikh hawakukata tamaa. Wakanitumia tena mkataba mwingine wenye kipengele cha kumlipa Ngassa mshahara wake wote ambao wamekubaliana, endapo klabu ingeamua kuvunja mkataba katikati.

Nikamtafuta Ngassa na kuanza kuongea naye kumuelewesha maana ya mshahara wa dola 10,000 na dau la dola 400,000 la kusainia mkataba.

Wakati huo, dola moja ilikuwa sawa na Shilingi 1,800, kwa hiyo dola 10,000 ilikuwa sawa na Sh 18 milioni.

Nikam-wambia hiyo ni bei ya kununua kiwanja kilichopimwa, maeneo ya Mivumoni na Mbweni, ambacho wakati ule kilikuwa Sh. 15 milioni.

Kwa mkataba wake wa miaka 4, ilikuwa na maana kwamba angeweza kununua kiwanja kimoja kila mwezi na baada ya miezi 48, angekuwa na viwanja 48 katika maeneo ya kifahari ambayo baadaye

angeweza kuuza kwa bei mbaya sana.

Nikamuelewesha kuhusu kuwekeza kwa kununua dhamana za serikali. Nikamwambia dola 200,000 za kusainia mkataba, ukinunua dhamana za serikali, kila mwaka unapata mgawo wa 10%... sawa na dola 20,000.

Huo ulikuwa sawa na mshahara wake wa mwaka wa wakati huo akiwa Azam FC.

Tena hapo ilikuwa kabla signing fees haijapanda hadi Dola 300,000 na baadaye Dola 400,000.

Kiufupi, Ngassa katika miaka minne ya kucheza El Merreikh angeingiza mfukoni mwake Sh. 1.6 bilioni, hiyo ikiwa ni pesa ya kusaini mkataba na mishahara yake ya miezi 48. Hapo haujajumlisha na posho nyingine ambazo angepata kutokana na mafanikio ya timu.

Akanijibu, ‘tafuta pesa kwa nguvu zako, usitegemee nguvu zangu’.

Alinijibu hivyo baada ya kumueleza kwamba katika dili lile, mimi nilikuwa na dola elfu 10. Kwa hiyo akadhani nahangaikia maslahi yangu pekee bila yeye kufaidika.

Nikatafuta namba ya baba yake, mzee Khalfan Ngassa, na kumuelewesha haya mambo niliyokuwa namuelewesha mwanaye.

Mzee akasema yeye mwenyewe anasikia kwa watu tu...Mrisho hajawahi kumwambia hata mara moja.

Nikawajibu El Merreikh kwamba Ngassa hapatikani. Ndipo wakaangukia kwa Suleiman Ndikumana wa Burundi, ambaye kwenye ile Cecafa aliifungia Burundi bao moja dhidi ya Tanzania Bara, na kuisaidia timu yake kushinda 1-0.

Leo Ngassa analalamika Yanga hawamjali yeye mzawa...anasahau kwamba alipoteza nafasi yeye mwenyewe.

El Merreikh walikuwa tayari kumlipa pesa zote hizo na kumgharamia kila kitu kule Sudan (yaani hata angeshindwa kutamba angelipwa pesa zote).

Leo angekuwa na dola 400,000 kwenye dhamana ya serikali maana yake angekuwa na uhakika wa dola 60,000 kila mwaka (sawa na Sh. 11 milioni kila mwezi).

Asingekuwa mtu wa kuilalamikia Yanga, badala yake angekuwa mtu wa kuisaidia Yanga kama alivyokuwa akifanya Mwinyi Zahera.

Pole sana Ngassa. Ingekuwa busara ungeamua kusema hadharani namna ambavyo uliivuruga kesho yako wewe mwenyewe ili kizazi kinachoibukia kijifunze kutoka kwako.

ANDIKO NIMEKOPI GAZETI LA MWANASPORT

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ilitokea kwa Sekilojo Chambua. Yeye mwenyewe anasema alipokuwa Yanga yeye na Nonda Shabani Papii walitakiwa na klabu ya Moroka swallows ya bondeni lkn Yanga walikataa na anasema Yanga iliwaahidi donge nono. Anasema tabia ya sisi wabongo wengi kutokuwa na passport na kubweteka tukifika simba na Yanga anavijutia Sana. Nonda shabani alikuwa na passport yake akakwea pipa akitoroka pale jangwani na hatimaye kupata mkataba na timu hiyo ya South Africa. Nonda hatimaye akawa Star Ulaya.
 
Baada ya kusoma hili andiko mwanasport nikaona huyu Mchezaji ni mwehu na kuna wengi tu wa aina yake mfano Ajibu.

Nimekopi kama ilivyo kwenye gazeti la Mwanasport

MWAKA 2012 wakati wa Cecafa kule Uganda, niliupeleka ujumbe wa klabu ya El Merreikh ya Sudan ukiongozwa na ofisa habari wao, Idrissa Adelbagi Sheikh, kwenye kambi ya Tanzania Bara kufanya mazungumzo na Mrisho Ngassa.

Mazungumzo hayakwenda vizuri. Jamaa wakaondoka kurudi kwao Khartoum.

Baada ya mashindano wakaja Dar es Salaam na dau kubwa zaidi, dola ,000 na mshahara wa dola 5,000 kwa mwezi kwa Ngassa mwenyewe, na dola 100,000 kwa Azam Fc.

Siku hiyo Tanzania walikuwa wakicheza dhidi ya Somalia, Ngassa akafunga mabao 5 peke yake. Mwenyekiti El Merreikh kule Khartoum akapiga simu kusisitiza kwamba Ngassa lazima apatikane kwa vyovyote.

Jioni tukaonana na Ngassa na jamaa walikuwa na dau la dola 100,000 kwa Ngassa mwenyewe pamoja na mshahara wa dola 4,000 kwa mwezi, na dola 75,000 kwa klabu yake ya Azam FC.

Mazungumzo hayakwenda vizuri. Jamaa wakaondoka kurudi kwao Khartoum.

Baada ya mashindano wakaja Dar es Salaam na dau kubwa zaidi, dola 200,000 na mshahara wa dola 5,000 kwa mwezi kwa Ngassa mwenyewe, na dola 100,000 kwa Azam FC.

Azam FC ikakubali, lakini Ngassa mwenyewe hakupatikana. Tukaanza kumtafuta bila mafanikio.

Jamaa wakadhani Azam FC au mchezaji mwenyewe au wote wawili wanawafanyia uhuni...wakaongeza dau la dola 300,000 na mshahara hadi dola 6,000 kwa Ngassa, na dola 200,000 kwa klabu yake ya Azam FC.

Bado Ngassa hakupatikana. Mwenyekiti akapiga simu na kusema jamaa wasirudi bila Ngassa. Adelbagi akabaki hapa Dar es Salaam akihangaika na viongozi wa Azam FC na mimi kumtafuta Ngassa...bila mafanikio.

Baadaye akaondoka na kusema wameachana na mpango wa Ngassa.

Mimi binafsi nilihangaika sana kwa sababu waliniahidi dola 10,000 endapo mpango ungekamilika.

Kwa hiyo kujificha kwa Ngassa kulinivuruga mno kwa sababu kulinikosesha pesa nyingi sana.

El Merreikh walipoondoka, Ngassa akapatikana. Kumbe alikuwa amefichwa na Yanga kwenye hoteli ya Double Tree Hilton, Msasani Dar Es Salaam.

Lakini El Merreikh hawakukata tamaa. Wakanitumia tena mkataba mwingine wenye kipengele cha kumlipa Ngassa mshahara wake wote ambao wamekubaliana, endapo klabu ingeamua kuvunja mkataba katikati.

Nikamtafuta Ngassa na kuanza kuongea naye kumuelewesha maana ya mshahara wa dola 10,000 na dau la dola 400,000 la kusainia mkataba.

Wakati huo, dola moja ilikuwa sawa na Shilingi 1,800, kwa hiyo dola 10,000 ilikuwa sawa na Sh 18 milioni.

Nikam-wambia hiyo ni bei ya kununua kiwanja kilichopimwa, maeneo ya Mivumoni na Mbweni, ambacho wakati ule kilikuwa Sh. 15 milioni.

Kwa mkataba wake wa miaka 4, ilikuwa na maana kwamba angeweza kununua kiwanja kimoja kila mwezi na baada ya miezi 48, angekuwa na viwanja 48 katika maeneo ya kifahari ambayo baadaye

angeweza kuuza kwa bei mbaya sana.

Nikamuelewesha kuhusu kuwekeza kwa kununua dhamana za serikali. Nikamwambia dola 200,000 za kusainia mkataba, ukinunua dhamana za serikali, kila mwaka unapata mgawo wa 10%... sawa na dola 20,000.

Huo ulikuwa sawa na mshahara wake wa mwaka wa wakati huo akiwa Azam FC.

Tena hapo ilikuwa kabla signing fees haijapanda hadi Dola 300,000 na baadaye Dola 400,000.

Kiufupi, Ngassa katika miaka minne ya kucheza El Merreikh angeingiza mfukoni mwake Sh. 1.6 bilioni, hiyo ikiwa ni pesa ya kusaini mkataba na mishahara yake ya miezi 48. Hapo haujajumlisha na posho nyingine ambazo angepata kutokana na mafanikio ya timu.

Akanijibu, ‘tafuta pesa kwa nguvu zako, usitegemee nguvu zangu’.

Alinijibu hivyo baada ya kumueleza kwamba katika dili lile, mimi nilikuwa na dola elfu 10. Kwa hiyo akadhani nahangaikia maslahi yangu pekee bila yeye kufaidika.

Nikatafuta namba ya baba yake, mzee Khalfan Ngassa, na kumuelewesha haya mambo niliyokuwa namuelewesha mwanaye.

Mzee akasema yeye mwenyewe anasikia kwa watu tu...Mrisho hajawahi kumwambia hata mara moja.

Nikawajibu El Merreikh kwamba Ngassa hapatikani. Ndipo wakaangukia kwa Suleiman Ndikumana wa Burundi, ambaye kwenye ile Cecafa aliifungia Burundi bao moja dhidi ya Tanzania Bara, na kuisaidia timu yake kushinda 1-0.

Leo Ngassa analalamika Yanga hawamjali yeye mzawa...anasahau kwamba alipoteza nafasi yeye mwenyewe.

El Merreikh walikuwa tayari kumlipa pesa zote hizo na kumgharamia kila kitu kule Sudan (yaani hata angeshindwa kutamba angelipwa pesa zote).

Leo angekuwa na dola 400,000 kwenye dhamana ya serikali maana yake angekuwa na uhakika wa dola 60,000 kila mwaka (sawa na Sh. 11 milioni kila mwezi).

Asingekuwa mtu wa kuilalamikia Yanga, badala yake angekuwa mtu wa kuisaidia Yanga kama alivyokuwa akifanya Mwinyi Zahera.

Pole sana Ngassa. Ingekuwa busara ungeamua kusema hadharani namna ambavyo uliivuruga kesho yako wewe mwenyewe ili kizazi kinachoibukia kijifunze kutoka kwako.

ANDIKO NIMEKOPI GAZETI LA MWANASPORT

Sent using Jamii Forums mobile app
habari hii niliifuatilia sana kipindi hicho nipo vimbweta vya coet napiga rb....... machozi yalinitoka sn nilipokua nasoma hizi habari........


edo kumwembe na shaff dauda walipiga sn kelele facebook kuhusu upuuzi huu wa ngasa......


maisha kwakweli ni funzo kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom