Ngoja nikwambie sasa, sisi wahuni wa miaka ya 90 na tulivyo sasa

Ngoja nikwambie sasa, sisi wahuni wa miaka ya 90 na tulivyo sasa

Unajua nawacheki vijana wa kisasa naona kama wanaigiza uhuni kuliko uhalisia. Sisi tuliishi nyakati za hatari miaka ya 90 halafu bado tumebaki na akili za kusimulia vijana.

Umetoka Ubungo ukapita External, ukapita Garage kituo kinachofuata ni Tabata Relini (Mwananchi)

Ukishuka pale unavuka barabara unaingia kulia unafuata barabara au unaambaa ambaa na reli ile mpaka unaposhuka tena kulia na kupandisha kamlima kadogo ukiacha ile Bar ya Mtaita. (Pale walikuwa pia wanauza Sambusa nzuri sana za Nyama miaka ya 90) ukiendelea mbele utakutana na uliokuwa MJI MPYA.

Ukitembea sana utakuja kutana na Uwanja wa Twiga. Mimi ndo ulikuwa uwanja wangu wa kuangalia mpira jioni, mazoezi au mechi.

Miaka hiyo kuna team ta Twiga iliyokuwa na jersey za utumbo zenye namba kubwa mgongoni 60, 78, 86, 97 n.k

Pale mlangoni ulikuwa unamkuta gollie mmoja mbabe sana anaitwa Omary. Sijui yu wapi huyu bwana. Nataman sana kumwona. Jamaa alikuwa anapendeza sana mlangoni, hasa kwa udakaji wake na alivyokuwa akiwagonga vichwa wachezaji pinzani kwa usiri mkubwa sana.

Kulikuwa na wachezaji wazuri wenye speed mmoja wapo alikuwa Martin Kiberenge. Huyu jamaa alikuwa anakimbia na mpira balaa. Maskini alikuja ishia kuwa mpiga picha tu. But huyu jamaa hakupaswa kucheza soka la Bongo.

Alikuwepo Kiruguru. Huyu alikuwa amekomaa sana na mfupi asiye na woga uwanjani. Kisha unakuja kutana na Mluguru mwingine mrefu ambaye miaka hiyo wenzake wanacheza mpira wamevaa viatu yeye alikuwa anacheza peku na alikuwa anaçhana sana mipira kwa miguu yake.

Alikuwa na nguvu na amekomaa sana. Mechi zilikuwa zinachezwa huku refarii ameweka panga kiunoni maana ilikuwa kipigo nje nje kwa marefa. Kama refa unaonekana umeshindwa kuumudu mchezo basi wananchi wanaonesha wanaweza kukumudu.

Mara nyingi sana kulikuwa kunatokea vipigo vya mawe, mapanga n.k so si ajabu wakati wa kumaliza mpira refa akawa ameenda simama eneo ambalo anajua anaweza chomoka kwa urahisi kukimbia kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira kali.

Wakati huo kundi kubwa la masela lina check mpira huku linavuta bhangi pembeni ya uwanja. Sasa usiwe na kiherehere ukataka uangalie mpira peke yako kwa kusimama na kuwaziba wengine. Utapigwa makonzi mpaka kichwa kibonyee halafu baadaye ndo kivimbe utadhani ndani kimewekwa kokoto pasipo mpangilio maalum.

Maisha mtaani yalikuwa ya ubabe. Demu unampata kwa ubabe na unadumu naye ukiwa mbabe, otherwise watu watakuchukulia tu.

Nakumbuka miaka hiyo ndo kukatokea kutokuelewana katika team ya Twiga ikavunjika na kuwa na Team Mbili. Twiga (Wastaarabu) na Begeju (watoto wa Mbwa) ilikuwa inapigwa game zikikutana team hizi mbili ni hatari na nusu. Na mwishowe si ajabu kutokea kipigo

But kumbuka ni team za hapo hapo na zinatumia uwanja mmoja. Mimi walikuwa mara nyingi wakinishawishi niende nao tunapoenda kucheza mechi mbali,Temeke, Ubungo n.k ili ikitokea tunahitaji kuchapana mkono nami niwape msaaada wangu.

Mimi nlikuwa napenda ugomvi.napenda sana miaka hiyo nmemaliza shule ya Msingi Makubuli/Mabibo then nasoma Tambaza ( wababe wa Dar) so nlikuwa mbabe ila nina akili.

Kulikuwa na wapiga mnanda maarufu miaka hiyo akina Furahisha(alikuja kuwa teja) Fikirini, Ali, Masud na wengine nmewasahau. Bhangi, Mademu na Pombe.

Mimi sasa naonekana mambo safi mtoto wa kidosi ila niliyechangamka.maana nlikuwa naweza kugonga sana ngumi.jamaa wengi kitaa walikuwa wanaishia darasa la saba na wengine hawamalizi hata hilo darasa la saba.

Late 2000 nikiwa mwaka wa 2 UDSM. Mzee aliamua tuhame tuhamie Sinza ambako pia tulikuwa na nyumba na ilikuwa wazazi wanakaa kule sisi na baba mdogo tunaishi huku Tabata Kimanga. Nakumbuka ile picha iliyokuwa na maneno HII NGUNA LAZIMA IISHE LEO,IWE IWEJE!

Miaka ile mitaani ulikuwa huwezi kuta shoga.utampata wapi na vijana tulifunzwa ukakamavu mapema sana? Nilikuwa mhuni sana ambaye leo hii natamani niende fanya visiting yale maeneo niwatafute wana. Zaidi ya miaka 20 sijafika tena huko.

Najitizama najiona nmebadilika sana.nlichange kwa ghafla sana katika maisha na leo hii nmekuwa hivi nilivyo mpole na mwenye aibu sielewi sababu ni nini hasa.

Umenikumbusha mbali sana nimesoma mabibo enzi za mwaikenda hayo yote maeneo yangu mimi nimezaliwa na kukulia mitaa ya external karibu na UFI
 
Mimi naikumbuka Mandela Bar (tabata Kimanga) ya yule mzee mwanajeshi, ndiko nilikuwa nashindia muda wangu wote wa ziada. Hiyo timu alikuwepo dogo mmoja mrefu mweusi ana mwili wa kispoti na mpira alikuwa anaujua balaa.
Mandela Bar. ..naifahamu ya zamani sana hiyo Bar.tulikuwa tunafika kule kupata maji...Kimanga napafahamu.
 
Unajua nawacheki vijana wa kisasa naona kama wanaigiza uhuni kuliko uhalisia. Sisi tuliishi nyakati za hatari miaka ya 90 halafu bado tumebaki na akili za kusimulia vijana.

Umetoka Ubungo ukapita External, ukapita Garage kituo kinachofuata ni Tabata Relini (Mwananchi)

Ukishuka pale unavuka barabara unaingia kulia unafuata barabara au unaambaa ambaa na reli ile mpaka unaposhuka tena kulia na kupandisha kamlima kadogo ukiacha ile Bar ya Mtaita. (Pale walikuwa pia wanauza Sambusa nzuri sana za Nyama miaka ya 90) ukiendelea mbele utakutana na uliokuwa MJI MPYA.

Ukitembea sana utakuja kutana na Uwanja wa Twiga. Mimi ndo ulikuwa uwanja wangu wa kuangalia mpira jioni, mazoezi au mechi.

Miaka hiyo kuna team ta Twiga iliyokuwa na jersey za utumbo zenye namba kubwa mgongoni 60, 78, 86, 97 n.k

Pale mlangoni ulikuwa unamkuta gollie mmoja mbabe sana anaitwa Omary. Sijui yu wapi huyu bwana. Nataman sana kumwona. Jamaa alikuwa anapendeza sana mlangoni, hasa kwa udakaji wake na alivyokuwa akiwagonga vichwa wachezaji pinzani kwa usiri mkubwa sana.

Kulikuwa na wachezaji wazuri wenye speed mmoja wapo alikuwa Martin Kiberenge. Huyu jamaa alikuwa anakimbia na mpira balaa. Maskini alikuja ishia kuwa mpiga picha tu. But huyu jamaa hakupaswa kucheza soka la Bongo.

Alikuwepo Kiruguru. Huyu alikuwa amekomaa sana na mfupi asiye na woga uwanjani. Kisha unakuja kutana na Mluguru mwingine mrefu ambaye miaka hiyo wenzake wanacheza mpira wamevaa viatu yeye alikuwa anacheza peku na alikuwa anaçhana sana mipira kwa miguu yake.

Alikuwa na nguvu na amekomaa sana. Mechi zilikuwa zinachezwa huku refarii ameweka panga kiunoni maana ilikuwa kipigo nje nje kwa marefa. Kama refa unaonekana umeshindwa kuumudu mchezo basi wananchi wanaonesha wanaweza kukumudu.

Mara nyingi sana kulikuwa kunatokea vipigo vya mawe, mapanga n.k so si ajabu wakati wa kumaliza mpira refa akawa ameenda simama eneo ambalo anajua anaweza chomoka kwa urahisi kukimbia kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira kali.

Wakati huo kundi kubwa la masela lina check mpira huku linavuta bhangi pembeni ya uwanja. Sasa usiwe na kiherehere ukataka uangalie mpira peke yako kwa kusimama na kuwaziba wengine. Utapigwa makonzi mpaka kichwa kibonyee halafu baadaye ndo kivimbe utadhani ndani kimewekwa kokoto pasipo mpangilio maalum.

Maisha mtaani yalikuwa ya ubabe. Demu unampata kwa ubabe na unadumu naye ukiwa mbabe, otherwise watu watakuchukulia tu.

Nakumbuka miaka hiyo ndo kukatokea kutokuelewana katika team ya Twiga ikavunjika na kuwa na Team Mbili. Twiga (Wastaarabu) na Begeju (watoto wa Mbwa) ilikuwa inapigwa game zikikutana team hizi mbili ni hatari na nusu. Na mwishowe si ajabu kutokea kipigo

But kumbuka ni team za hapo hapo na zinatumia uwanja mmoja. Mimi walikuwa mara nyingi wakinishawishi niende nao tunapoenda kucheza mechi mbali,Temeke, Ubungo n.k ili ikitokea tunahitaji kuchapana mkono nami niwape msaaada wangu.

Mimi nlikuwa napenda ugomvi.napenda sana miaka hiyo nmemaliza shule ya Msingi Makubuli/Mabibo then nasoma Tambaza ( wababe wa Dar) so nlikuwa mbabe ila nina akili.

Kulikuwa na wapiga mnanda maarufu miaka hiyo akina Furahisha(alikuja kuwa teja) Fikirini, Ali, Masud na wengine nmewasahau. Bhangi, Mademu na Pombe.

Mimi sasa naonekana mambo safi mtoto wa kidosi ila niliyechangamka.maana nlikuwa naweza kugonga sana ngumi.jamaa wengi kitaa walikuwa wanaishia darasa la saba na wengine hawamalizi hata hilo darasa la saba.

Late 2000 nikiwa mwaka wa 2 UDSM. Mzee aliamua tuhame tuhamie Sinza ambako pia tulikuwa na nyumba na ilikuwa wazazi wanakaa kule sisi na baba mdogo tunaishi huku Tabata Kimanga. Nakumbuka ile picha iliyokuwa na maneno HII NGUNA LAZIMA IISHE LEO,IWE IWEJE!

Miaka ile mitaani ulikuwa huwezi kuta shoga.utampata wapi na vijana tulifunzwa ukakamavu mapema sana? Nilikuwa mhuni sana ambaye leo hii natamani niende fanya visiting yale maeneo niwatafute wana. Zaidi ya miaka 20 sijafika tena huko.

Najitizama najiona nmebadilika sana.nlichange kwa ghafla sana katika maisha na leo hii nmekuwa hivi nilivyo mpole na mwenye aibu sielewi sababu ni nini hasa.
Nashindwa changia naona kama nilikuwa mwanaume wa 80's! Kweli kikongwe..
 
Sifahamu alipokuwa anakaa. Unamfahamu Mama Mshuza? Alifariki lini?
Kuna mshuza alipata ajali ya gari mandela road mwaka sikumbuki ila ni kabla ya 1994. Alikiwa maarufu sana. Kwa kumbukumbu zangu alifariki pamoja na mkewe maana walikuwa wote kwenye gari ndogo iliyoingia nyuma tela la semi.
 
Kuna mshuza alipata ajali ya gari mandela road mwaka sikumbuki ila ni kabla ya 1994. Alikiwa maarufu sana. Kwa kumbukumbu zangu alifariki pamoja na mkewe maana walikuwa wote kwenye gari ndogo iliyoingia nyuma tela la semi.
Mamshuza alikuwa hai nadhani mpaka late 1990s kama sikosei. Sijui wenyeji waliokuwepo watatukumbusha.
 
Unajua nawacheki vijana wa kisasa naona kama wanaigiza uhuni kuliko uhalisia. Sisi tuliishi nyakati za hatari miaka ya 90 halafu bado tumebaki na akili za kusimulia vijana.

Umetoka Ubungo ukapita External, ukapita Garage kituo kinachofuata ni Tabata Relini (Mwananchi)

Ukishuka pale unavuka barabara unaingia kulia unafuata barabara au unaambaa ambaa na reli ile mpaka unaposhuka tena kulia na kupandisha kamlima kadogo ukiacha ile Bar ya Mtaita. (Pale walikuwa pia wanauza Sambusa nzuri sana za Nyama miaka ya 90) ukiendelea mbele utakutana na uliokuwa MJI MPYA.

Ukitembea sana utakuja kutana na Uwanja wa Twiga. Mimi ndo ulikuwa uwanja wangu wa kuangalia mpira jioni, mazoezi au mechi.

Miaka hiyo kuna team ta Twiga iliyokuwa na jersey za utumbo zenye namba kubwa mgongoni 60, 78, 86, 97 n.k

Pale mlangoni ulikuwa unamkuta gollie mmoja mbabe sana anaitwa Omary. Sijui yu wapi huyu bwana. Nataman sana kumwona. Jamaa alikuwa anapendeza sana mlangoni, hasa kwa udakaji wake na alivyokuwa akiwagonga vichwa wachezaji pinzani kwa usiri mkubwa sana.

Kulikuwa na wachezaji wazuri wenye speed mmoja wapo alikuwa Martin Kiberenge. Huyu jamaa alikuwa anakimbia na mpira balaa. Maskini alikuja ishia kuwa mpiga picha tu. But huyu jamaa hakupaswa kucheza soka la Bongo.

Alikuwepo Kiruguru. Huyu alikuwa amekomaa sana na mfupi asiye na woga uwanjani. Kisha unakuja kutana na Mluguru mwingine mrefu ambaye miaka hiyo wenzake wanacheza mpira wamevaa viatu yeye alikuwa anacheza peku na alikuwa anaçhana sana mipira kwa miguu yake.

Alikuwa na nguvu na amekomaa sana. Mechi zilikuwa zinachezwa huku refarii ameweka panga kiunoni maana ilikuwa kipigo nje nje kwa marefa. Kama refa unaonekana umeshindwa kuumudu mchezo basi wananchi wanaonesha wanaweza kukumudu.

Mara nyingi sana kulikuwa kunatokea vipigo vya mawe, mapanga n.k so si ajabu wakati wa kumaliza mpira refa akawa ameenda simama eneo ambalo anajua anaweza chomoka kwa urahisi kukimbia kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira kali.

Wakati huo kundi kubwa la masela lina check mpira huku linavuta bhangi pembeni ya uwanja. Sasa usiwe na kiherehere ukataka uangalie mpira peke yako kwa kusimama na kuwaziba wengine. Utapigwa makonzi mpaka kichwa kibonyee halafu baadaye ndo kivimbe utadhani ndani kimewekwa kokoto pasipo mpangilio maalum.

Maisha mtaani yalikuwa ya ubabe. Demu unampata kwa ubabe na unadumu naye ukiwa mbabe, otherwise watu watakuchukulia tu.

Nakumbuka miaka hiyo ndo kukatokea kutokuelewana katika team ya Twiga ikavunjika na kuwa na Team Mbili. Twiga (Wastaarabu) na Begeju (watoto wa Mbwa) ilikuwa inapigwa game zikikutana team hizi mbili ni hatari na nusu. Na mwishowe si ajabu kutokea kipigo

But kumbuka ni team za hapo hapo na zinatumia uwanja mmoja. Mimi walikuwa mara nyingi wakinishawishi niende nao tunapoenda kucheza mechi mbali,Temeke, Ubungo n.k ili ikitokea tunahitaji kuchapana mkono nami niwape msaaada wangu.

Mimi nlikuwa napenda ugomvi.napenda sana miaka hiyo nmemaliza shule ya Msingi Makubuli/Mabibo then nasoma Tambaza ( wababe wa Dar) so nlikuwa mbabe ila nina akili.

Kulikuwa na wapiga mnanda maarufu miaka hiyo akina Furahisha(alikuja kuwa teja) Fikirini, Ali, Masud na wengine nmewasahau. Bhangi, Mademu na Pombe.

Mimi sasa naonekana mambo safi mtoto wa kidosi ila niliyechangamka.maana nlikuwa naweza kugonga sana ngumi.jamaa wengi kitaa walikuwa wanaishia darasa la saba na wengine hawamalizi hata hilo darasa la saba.

Late 2000 nikiwa mwaka wa 2 UDSM. Mzee aliamua tuhame tuhamie Sinza ambako pia tulikuwa na nyumba na ilikuwa wazazi wanakaa kule sisi na baba mdogo tunaishi huku Tabata Kimanga. Nakumbuka ile picha iliyokuwa na maneno HII NGUNA LAZIMA IISHE LEO,IWE IWEJE!

Miaka ile mitaani ulikuwa huwezi kuta shoga.utampata wapi na vijana tulifunzwa ukakamavu mapema sana? Nilikuwa mhuni sana ambaye leo hii natamani niende fanya visiting yale maeneo niwatafute wana. Zaidi ya miaka 20 sijafika tena huko.

Najitizama najiona nmebadilika sana.nlichange kwa ghafla sana katika maisha na leo hii nmekuwa hivi nilivyo mpole na mwenye aibu sielewi sababu ni nini hasa.
[emoji23][emoji23]muwamba ngoma huvutia kwake mkuu.
Hata ungelikuwa dhaifu usingelisema hapa.
 
Yap Santana alikuwa na nyumba yake pale kwa mfuga mbwa,nami nimetoka muda mrefu sijui anaendeleaje,ila tulishawahi kukutana kwenye vurugu kati ya wavete wa pale manzese kwa wachonga visu dhidi ya Chicago ya manzese kwa mfuga mbwa ila timbwili halikutokea kwa kuwa wavete tulikuwa na support ya wahuni mpaka Mabibo na Mburahati ikabidi Santana na Chicago yake watulie tukayamaliza kwa makaratasi na wao kwenda kufuta kesi polisi Urafiki.
Nalog off
Huyo Santana alijiingiza kwenye siasa akawa upande wa Ccm, alipokeaga kichapo kutoka kwa mlinzi wa Prof. Lipumba asee.
 
sinza star na abajalo ,wakikutana ngoma inakuwa si ya kitoto mitaa ya sinza,

lazima watu walale saa moja usiku
Siaba yupo wapi now?
Pia kulikua na Timu inaitwa TP Africa....weka tuwekeee, Lunyamila na Mohamedi Hussein mmachinga ndani.
 
Back
Top Bottom