Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Weee nataka shougaaangu fanya kunikonektia namie buanaa nimedodaaajee shoss akoo hapa!!😂😂😂Wee hutaki?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee nataka shougaaangu fanya kunikonektia namie buanaa nimedodaaajee shoss akoo hapa!!😂😂😂Wee hutaki?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu wewe 🤷🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asee ashukuriwe kaka wa watu mpole sana maxmello
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mie unadhan hata huko PM ningekujaaa?? Huu uzi kwa walio single,Nilitaka kulike apa nikakumbuka ni upinde,nikatoka mbio,super Sonic speed
Avatar zenyewe hizi kama hujatongoza jinsia yako😂Sasa mtu amewapanga tayari ata like wapii??
Basi mje hata na I'd mpya mpya mlike
mambo ni motooYani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Mbona huji pm?Nna nini tena?
Hapo ndo ataingia pabaya chura hamna sura ya mzee plus ufupi 😂😂kama kiroba Cha pembejeoMwambie ukweli n upendo au chura[emoji23][emoji23]
Halafu wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mie unadhan hata huko PM ningekujaaa?? Huu uzi kwa walio single,
Mie niko double kwa watu zaidi ya m1, sina shida na nyege za reja rejaa, poleeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wamefunga Pm zao wanakulike makusudi na chakuwafanya huna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vile watu wanakaushiana na hawapeani support
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna kuzuga siwezii, eti napendagaa real dear.Tafuta wa kuzugia basii
Hahaha aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mie unadhan hata huko PM ningekujaaa?? Huu uzi kwa walio single,
Mie niko double kwa watu zaidi ya m1, sina shida na nyege za reja rejaa, poleeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan hujamuona mzee wa muongozoo nawee??Weee nataka shougaaangu fanya kunikonektia namie buanaa nimedodaaajee shoss akoo hapa!![emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂Hii nimeipendaWatu wamefunga Pm zao wanakulike makusudi na chakuwafanya huna [emoji23][emoji23]
Ole wako usipokujaNakujaaaaa 🏃♀️🏃♀️