Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Nimechekaaaa kifalaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!
Eendiwoo mdogo wangu wanasema wa kuzugia hawakosiiii eti fanya mpango unikonektie dadako hapaa nimezubaa zubaa tuπŸ˜ŠπŸ˜‚!
Dada humu vijana wameoa na wasiooa Wana wao sogea tuishi tuendelee kugombana nao hawa wa mtaani kwetu huku
 
Dada humu vijana wameoa na wasiooa Wana wao sogea tuishi tuendelee kugombana nao hawa wa mtaani kwetu huku

Hilo nalo neno mdogo wangu humu kila mtu na mtuwe hebu nikuje huko kitaa tusongeshe life walaiπŸ˜‚πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ
 
Hebu nikalike koments zake kwanzaa kumbe Ndiomana zimezubaa tu hapa sababu silike post za watuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜Š!
Photo shauri yako
Yani hata maji ya uhai ndani kwako unajinunulia
Khaaa upate hata wa kukwambia mamii niko njiani nije na nini?
 
Watu wafupi una utani wa ngumi ujue🀣🀣🀣🀣!!
Mdogowako mm mfupi kama ujuavyo small peopleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Neuro mdogowangu vijana wanatka kujitafutia matatizo nq presha ndogondogo hebu njoo wape tahadhari
 
Nahisi ww inakuingia akilini!! N ngumu Kwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenzio tushakulana humu hadi tumerudia halafu unafanya utani

Humu tuna watu wa kila idara...polisi mahakama hospitalini shuleni n.k n.k yani full undugu na connection
 
Watu wafupi sisi tuna matatizo sana mtuache tuwe single tu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Utakuaje single wakati mimi nipo kwani ukiwa mfupi nini unapungukiwa kinachomatter ni upendo sio size ya mtu
 
Nimemaliza mwendelezo wa like za upendo
 
Back
Top Bottom