Unakuwa kama Mbuni, kuficha kichwa mchangani!!! Kwani mwanaume huwa anamtafuta mwanamke ili iweje?
Unapita nae, kwani mwamba wa zenji ilikuaje??Aki like mwamba mwenzako [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo mzee wa miongozo ni kijana? Mbna huniambii sasa? Si nikusaidie majukumu.
Kuimba kupokezanaaa.
Unamsikia huyuNdo natafutaaa hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utafia vifuani kwa wazee wee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na ushangazii hatrukomiiii usintanieeee nitafutie partner mieee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila weweKwani wanawake wa JF mmeenda wapii
Halafu mje mseme mko single wanaume hakuna..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliUtapata usikae mbali na huu uzii
Sina bundle la kufungua video hiyooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utafia vifuani kwa wazee wee
kumekuchaaaMkuje mkujeeee tuchangamshane, usiku mrefu jamani[emoji3526]
Ati unaitwa mtoto papaiSina bundle la kufungua video hiyooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie mnatunyima mbususuzenu kwa kutaka wanaume wenye hela. Sie wengine hela hatunaYani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
WNyie mnatunyima mbususuzenu kwa kutaka wanaume wenye hela. Sie wengine hela hatuna
Wazee mbona hawapiti huku??Yani huniambiii kitruu kwa wazee waletreeee wazee waletreeee wazee π€£π€£π€£π€£!!
Wazee waelewaaa wanaleaa wazee wanacare wazee wanabembelezaaaa πππ€£
We mwanamke au mwanaume? Nimeona umelike post zangu zote.Nimeianza kazi yangu ya kusambaza like za upendo.....