Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ni ujinga wa hali ya juu kutafuta wapenzi humu .
 
Jitahidini, sisi uncle zenu tulitumia fursa vizuri zama zetu. Hapa tupo na ma-jr zao la jf.
 
Haha, mbona unajishtukia mama. Zile tofauti tushazimaliza mbona🤣🤣. Halafu ungejua jiko langu linatokana na ubunifu wa Max.
Kumbe jiko liko hapa ndo maana una act mzee wa busara 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kumbe jiko liko hapa ndo maana una act mzee wa busara 🤣🤣🤣🤣🤣
Yani ninavyojiachia humu unasema tena na act mzee wa busara. Halafu jana Dr. Mariposa kaniambia sijawa mzee, mi kijana shababi kabisa mama🤣🤣
 
Hapa naanza na mtoa mada na ma peasi mengine ili dm kuchangamke leo. 😀
 
Ningekutaka Ila unaonekana unaweza kunichezea
 
Yani huniambiii kitruu kwa wazee waletreeee wazee waletreeee wazee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!

Wazee waelewaaa wanaleaa wazee wanacare wazee wanabembelezaaaa [emoji41][emoji41][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…