Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Hapana nimeona kwenye lile jukwaa la selfika upo poa kabisa unavutia haswa
Hujasoma shuhuda za watu za kukutana na vitu wasivyotegemea alafu kuna mchawi anaitwa filter ukigonga hiyo kama mzungu
 
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Hapo ndipo ulipo haribu, ushautikisa mti
 
Mwanaume rijali unaanzaje kuuliza swali kama hilo? kweli tunazidi kupungua, mtoto mzuri juu pako presentable, mweupe na umbo la wastani alike nimtunuku ndoa.
We uliekuwa rijali hongera mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…