Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujasoma shuhuda za watu za kukutana na vitu wasivyotegemea alafu kuna mchawi anaitwa filter ukigonga hiyo kama mzunguHapana nimeona kwenye lile jukwaa la selfika upo poa kabisa unavutia haswa
Damu moyaaa kabisaa.. toka nikote 😊😊Nipooo hapaaa dearr🙇😘! National Anthem ni mjomba toka nitoke😊
Hapo ndipo ulipo haribu, ushautikisa mtiSasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Umeletewa mihogoNipooo hapaaa dearr🙇😘! National Anthem ni mjomba toka nitoke😊
Kabithaaa Mjomba wangu😘!Damu moyaaa kabisaa.. toka nikote 😊😊
😅😅 unakula ugali kwani na mrenda ? We si mboga sabaAisee njaa imeuma ghafla
Nipigie 🤣🤣🤣au njoo nyumbaniMbona sikuoni pm?
Umeletewa mihogo
Doh mboga Saba nizijulie wapi labda mboga Saba lakin zote ziwe za majani😂😅😅 unakula ugali kwani na mrenda ? We si mboga saba
We uliekuwa rijali hongera mkuuMwanaume rijali unaanzaje kuuliza swali kama hilo? kweli tunazidi kupungua, mtoto mzuri juu pako presentable, mweupe na umbo la wastani alike nimtunuku ndoa.
National Anthem Mjomba wangu sina shaka nae kabisa Lazima aniletee thoda na maji ya uzimaa kabisa!Mwambie akuletee na soda