Mada ina husu nini kwaniππππππ
Jamanii uzi umetembea mnoπ¬πSoma na ww bwana Acha uvivu
Maisha ni vita bibieUsimkandie mwenzako
Hawajiamini?Huu uzi likes ni chache mnoo
Kwenye comments....watu wanajihamii
ππππHawajiamini?
Yuko wapo kamanda Evelyn Salt ?
Hamna shida tunaenda hivyo hivyo pia personality yangu ninaipendaHujasoma shuhuda za watu za kukutana na vitu wasivyotegemea alafu kuna mchawi anaitwa filter ukigonga hiyo kama mzungu
Niko occupied π
Mimi binafsi jf naichukulia kama kijiwe cha kahawa.
Hata wanijie pm wangapi nachukulia poa tu.
Ni maamuzi yangu kujibu au kupotezea.
Nakuonaga unajihami mnooππ
Taken ππ