Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Nalitambua kitambo mno.
Ukiwa na akili hukosi kuligundua hilo
Aisee na Mimi nimeliona hilo na ukiwa nae karibu, usije ukawa mtu wa ku relax na kutegemea kwa sababu wewe ni Mwanamume basi itakuwa ni sawa na ule msemo wa hakuna Mkate mgumu mbele ya Chai 😅 😅 😅 😅
 
Kaka mashemeji wanasema wanataka wenye

chura.

Sasa hiyo chura kwangu ni kipengele 🤓
Kwani wewe unataka chura ya saizi gani? Mbona hiyo yako inatosha kabisa,chura fulani hivi iliyobalance kotekote,siyo zile chura zinazoota juu ya kiuno. Unajua chura ikizidi)
sana inakuwa kero.

Aaargh nisiseme sana,Kaka kumsifia dadaake zaidi ya hapa itakuwa kharam..!!
 
......Sasa mbona yule bibie ninaempenda haji kukoment hadi saizi ili ni-like au anafanya makusudi aisee......
 
Aisee na Mimi nimeliona hilo na ukiwa nae karibu, usije ukawa mtu wa ku relax na kutegemea kwa sababu wewe ni Mwanamume basi itakuwa ni sawa na ule msemo wa hakuna Mkate mgumu mbele ya Chai 😅 😅 😅 😅
Jambo moja muhimu kulifahamu...hatabiriki😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…