Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Potelea mbali,we nitoe tu nduki,me najua ndugu hawatupiani mawe.Kaka ukiibuka pm nakutoa nduki 😁
Hili lidada usilichukulie poa ni level nyingine kabisa🤣Jaribu aiseee labda linaweza likawa fungu lako 🤣🤣🤣🤣
Hili lidada usilichukulie poa ni level nyingine kabisa🤣
Nalitambua kitambo mno.Nashukuru kama umeshalitambua hilo aiseee 😂😂😂😂
Aisee na Mimi nimeliona hilo na ukiwa nae karibu, usije ukawa mtu wa ku relax na kutegemea kwa sababu wewe ni Mwanamume basi itakuwa ni sawa na ule msemo wa hakuna Mkate mgumu mbele ya Chai 😅 😅 😅 😅Nalitambua kitambo mno.
Ukiwa na akili hukosi kuligundua hilo
Fungua PM mama. Nimekaa mlangoni nabisha hodi.
😂😂😂😂
Unadanganya wenzio shauri akk
Kaka mashemeji wanasema wanataka wenye
Kwani wewe unataka chura ya saizi gani? Mbona hiyo yako inatosha kabisa,chura fulani hivi iliyobalance kotekote,siyo zile chura zinazoota juu ya kiuno. Unajua chura ikizidi)chura.
Sasa hiyo chura kwangu ni kipengele 🤓
Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike comment yako au utakayevutiwa naye mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
......Sasa mbona yule bibie ninaempenda haji kukoment hadi saizi ili ni-like au anafanya makusudi aisee......Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike comment yako au utakayevutiwa naye mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Chonde chonde mama! Utafute mpaka uupate. Ikishindakana muite fundi seremala avunje kitasa. Maisha yenyewe haya, hata hayaeleweki eti. 😃🤣🤣🤣Funguo umepotwa mkuu
Jambo moja muhimu kulifahamu...hatabiriki😂Aisee na Mimi nimeliona hilo na ukiwa nae karibu, usije ukawa mtu wa ku relax na kutegemea kwa sababu wewe ni Mwanamume basi itakuwa ni sawa na ule msemo wa hakuna Mkate mgumu mbele ya Chai 😅 😅 😅 😅
Si huyo NakadoriAnaesema mimi ni crush wako ni nani nimtie konzi sasa hivi kaka
Nawazoom tu mnavyopigana kamba
Tulia...wanaume wanateta😁Nawazoom tu mnavyopigana kamba
That is true kabisa.Jambo moja muhimu kulifahamu...hatabiriki😂