Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Nalitambua kitambo mno.
Ukiwa na akili hukosi kuligundua hilo
Aisee na Mimi nimeliona hilo na ukiwa nae karibu, usije ukawa mtu wa ku relax na kutegemea kwa sababu wewe ni Mwanamume basi itakuwa ni sawa na ule msemo wa hakuna Mkate mgumu mbele ya Chai 😅 😅 😅 😅
 
Kaka mashemeji wanasema wanataka wenye

chura.

Sasa hiyo chura kwangu ni kipengele 🤓
Kwani wewe unataka chura ya saizi gani? Mbona hiyo yako inatosha kabisa,chura fulani hivi iliyobalance kotekote,siyo zile chura zinazoota juu ya kiuno. Unajua chura ikizidi)
sana inakuwa kero.

Aaargh nisiseme sana,Kaka kumsifia dadaake zaidi ya hapa itakuwa kharam..!!
 
Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.

Sasa we andika comment yako halafu atakayelike comment yako au utakayevutiwa naye mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.

Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...

mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.

Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.

Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.

Sasa we andika comment yako halafu atakayelike comment yako au utakayevutiwa naye mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.

Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...

mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.

Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.

Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
......Sasa mbona yule bibie ninaempenda haji kukoment hadi saizi ili ni-like au anafanya makusudi aisee......
 
Aisee na Mimi nimeliona hilo na ukiwa nae karibu, usije ukawa mtu wa ku relax na kutegemea kwa sababu wewe ni Mwanamume basi itakuwa ni sawa na ule msemo wa hakuna Mkate mgumu mbele ya Chai 😅 😅 😅 😅
Jambo moja muhimu kulifahamu...hatabiriki😂
 
Back
Top Bottom