Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Huu ni ukweli Mchungu aisee....
Akili kubwa kama Nakadori huwa haitaki complications , kitu kidogo tu huwa ina appreciate sana.... Bora huyo Mwamba asijichanganye kabisa ataishia kupata mawazo na vidonda vya tumbo tu.
Bado sana kupambana na miamba kama Lenie au Nakadori
Labda aombe kazi ya kusafisha kucha
Satoh Hirosh 😂😂😂😂
 
Mkipendana mtapunguza matusi kule siasa
Uzuri ni kwamba Madam SSH anajua kubalansi mambo, Siasa za chuki zinapunguwa maana anawaambia kabisa Mawazo ya Upinzani yanamsaidia kujua wapi kuna Weakness sasa Chawa wa Chama chake wataongea nini?
 
Me ni pisi kali, sio mwamba 😂

Naona uko na kampeni ya kunifukuzia ndege wangu, acha hizo basi
Sijamzuia nimempa angalizo.
Halafu uache ile tabia ya ngumi mkononi eee.
Wazungu husemba...bulagha/mbulaga😂😂😂
 
Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.

Sasa we andika comment yako halafu atakayelike comment yako au utakayevutiwa naye mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.

Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...

mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.

Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.

Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Nimekubali hio
 
Back
Top Bottom