Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Mbona hunitakii mema mkuu? 😀😀

We unataka niandamwe na ukame tu,huo muziki ni upi? Lenie usimsikilize huyu jamaa mpinzani wangu.
Mkuu chagua ukipendacho na ukimpata wewe sema niandae kamati ya harusi
 
Back
Top Bottom