Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Huu ni ukweli Mchungu aisee....
Akili kubwa kama Nakadori huwa haitaki complications , kitu kidogo tu huwa ina appreciate sana.... Bora huyo Mwamba asijichanganye kabisa ataishia kupata mawazo na vidonda vya tumbo tu.
Bado sana kupambana na miamba kama Lenie au Nakadori
Labda aombe kazi ya kusafisha kucha
Satoh Hirosh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkipendana mtapunguza matusi kule siasa
Uzuri ni kwamba Madam SSH anajua kubalansi mambo, Siasa za chuki zinapunguwa maana anawaambia kabisa Mawazo ya Upinzani yanamsaidia kujua wapi kuna Weakness sasa Chawa wa Chama chake wataongea nini?
 
Me ni pisi kali, sio mwamba πŸ˜‚

Naona uko na kampeni ya kunifukuzia ndege wangu, acha hizo basi
Sijamzuia nimempa angalizo.
Halafu uache ile tabia ya ngumi mkononi eee.
Wazungu husemba...bulagha/mbulagaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapa hakuna huo umoja wa kufa na kuzikana tafuta ubavu.
Kwa taarifa yako bado sijachaguliwa piaπŸ˜‚
Kimasihara.com is loading......... πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Nimekubali hio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…