Like yangu hupati usije zama. Bure 🤣🤣Hivi huwa ni jiko moja, au figa moja ndilo haliinjiki chungu?
Anyway, ngoja Mimi niwe mtazamaji hapa 😅
Yupo na mwenzake Mzee wa kupambaniaYanii ndo nambembeleza aoe
Hawa wana kazi sanaYupo na mwenzake Mzee wa kupambania
KILA KITUHAPA DUNIANI KILIANZA NA NENO. HATA UUMBAJI ULIANZA NA NENO. MTANDAO NI NJIA YA KURAHISIHA NENO KUWA KWELI. LAKINI UWE NA TAHADHARI UKIANZIA MTANDAONI KWENDA KWENYE UKWELI USIWE NA MATARAJIO CHANYASasa mapenzi ya kukutana mtandaoni yana wezekana vipi
Tunamuweka sawa Kisaikolojia aije akawa na high expectations inatakiwa a balance feelings na matarajio yakeYaani nyie 🤣🤣🤣
Na tusio maarufu wa hili jukwaa tunacomment wapi ? AntonniaYani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike comment yako au utakayevutiwa naye mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike comment yako au utakayevutiwa naye mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.