Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Na ndio Mimi nakazia hapa a stand as a Man, Sio kama Mvulana maana atafeli mpaka atajidharau mwenyewe, Hakuna Mwanamke ambaye ni intellectual anataka Man mwenye akili za Kivulana
Well said...

A man is a leader, wanawake tunapenda kuongozwa na tunafeel very safe tukiwa na mwanaume anayejiamini na anayeplay part yake vema.
Other factors remain constant...😛
 
Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.

Sasa we andika comment yako halafu atakayelike comment yako au utakayevutiwa naye mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.

Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...

mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.

Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.

Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Kuongeza michepuko inaruhusiwa....?
 
Mdogowako mm mfupi kama ujuavyo small people😂😂😂
Neuro mdogowangu vijana wanatka kujitafutia matatizo nq presha ndogondogo hebu njoo wape tahadhari
😂😂😂😂 mwanaume gani uyo anayeangalia ufupi kupata mwanamke. Atakosa vizuri kwakweli😂😂😂 maana wanawake wafupi na changamoto zao watakufanya ujione wewe kidume kama ukiweza kummudu. Tena kwa dada yangu sophy27 ujue huyo mwanaume anaipata peponi akiwa duniani. 😂😂
 
Jaman wadasa basi m.like na hapa niwafate inbox tuyajenge
 
😂😂😂😂 mwanaume gani uyo anayeangalia ufupi kupata mwanamke. Atakosa vizuri kwakweli😂😂😂 maana wanawake wafupi na changamoto zao watakufanya ujione wewe kidume kama ukiweza kummudu. Tena kwa dada yangu sophy27 ujue huyo mwanaume anaipata peponi akiwa duniani. 😂😂
Wacha wee Unawajaza upepo kumbe hamna kitu 😂
 
Back
Top Bottom