Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

🤣 🤣 🤣 🤣 Huyu Kijana wetu au Mdogo wetu ana tabia ya kupanick haraka na kufanya maamuzi ya hovyo na baada ya muda huwa anajirudi na kuanza kurekebisha makosa yake, bado hana uwezo wa kumiliki Pisi level za Lenie
Me nacheka tu hapa. Wahuni mmekomaa na Mimi Hadi nahisi kombe ni langu,kwa utetezi huu Lenie hachomoki.
 
Hawa Jamaa wawili ndugu zangu wameamua kulala na Mimi Hadi kwenye Kona,utadhani wanamfukuza mwizi anayekimbia huku ameweka tochi mfuko wa nyuma inamulika juu bila yeye kujua.

Ukisikia kukaba man to man ndiyo hii Sasa. Glenn , Manyanza

Usilalamike Kijana tunakupa hints za Kikurungwa
 
Yule sister nilikuwa namkubaligi sana japo ndo hivyo jf ya kipindikile tulikuwaga hatunaga kutaka Juana zaidi Kama Fb ila Mshana Jr alikuwaga ndo king wa JF na alikuwa sana rafiki na huyo dada nadhani walijuana sana

Jf sikuhizi utoto utoto mwingi sana! Alikua poa sana Miss Chagga afu alikua na nondo balaa! Alikoment wee mwenyewe unakubali
 
Tusikate tamaa tumuweke chini kabla hajalia🤣🤣🤣
Japo huenda tayari kazama pm
Kama ana akili za kujiongeza atakuwa ameyapata yatakayo msaidia kurekebisha madhaifu yake.
 
Sasa amefichwa wapi?
Mwingine huyo tena 🤣 🤣 🤣 🤣
Sometimes kama thread inakuboa na ina michango ya kitoto anzisha thread ambayo itakuwa haitaki michango au comments za kitoto. Watanzania wanatumia nguvu sana mpaka kwenye kufikiri
 
Back
Top Bottom