Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Msoma upuzi nae mpuzi ujue
Pale Wapuuzi wanapokuwa busy kufuatilia upuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msoma upuzi nae mpuzi ujue
Uzi unakimbia balaa khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kichwani sina shida lakini bado hujakomaa kubeba mizigo mizito kama Lenie ni oversize kwako🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nami mashaka yangu yameanzia pale.Nimemwambia hapo comment ya juu, maana nimemsoma kwa masaa kadhaa nimegundua ana tabia ya kukasirika na kununa nuna as if yeye ndio Pisi kali 🤣 🤣 🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 Huyu Kijana wetu au Mdogo wetu ana tabia ya kupanick haraka na kufanya maamuzi ya hovyo na baada ya muda huwa anajirudi na kuanza kurekebisha makosa yake, bado hana uwezo wa kumiliki Pisi level za Lenie🤣🤣🤣🤣🤣🤣nami mashaka yangu yameanzia pale.
Inaelekea kijana hata mgambo hajapitia achilia mbali jkt.
Bado hajatolewa ka kiburi kususa na kununa.
Ukimchalenji ana dislike😂
Halafu hata kamba zake nyepesi sana.🤣 🤣 🤣 🤣 Huyu Kijana wetu au Mdogo wetu ana tabia ya kupanick haraka na kufanya maamuzi ya hovyo na baada ya muda huwa anajirudi na kuanza kurekebisha makosa yake, bado hana uwezo wa kumiliki Pisi level za Lenie
Unajua we ni falla mkubwa ee🤣🤣🤣Akuu me sipendi makuu, just simple things/words tu natosheka😅
Yule sister nilikuwa namkubaligi sana japo ndo hivyo jf ya kipindikile tulikuwaga hatunaga kutaka Juana zaidi Kama Fb ila Mshana Jr alikuwaga ndo king wa JF na alikuwa sana rafiki na huyo dada nadhani walijuana sanaMiss Chagga chaga sijui alipotelea wapu hata kitambo sana humu!! Hanaga mbambambaa yule alikua peace sana!;
Anataka kumvuruga mdogo wetu huyu 🤣 🤣 🤣 🤣Unajua we ni falla mkubwa ee🤣🤣🤣
Tusikate tamaa tumuweke chini kabla hajalia🤣🤣🤣Anataka kumvuruga mdogo wetu huyu 🤣 🤣 🤣 🤣
Ndio yuko pm kitambo, hapa nakaribia kumpa no ya simu😂Tusikate tamaa tumuweke chini kabla hajalia🤣🤣🤣
Japo huenda tayari kazama pm
Sema Wana hiyo kichen pati mliyotoa Leo Ni hatari Sana. Mmekomaa na Mimi mwanzo mwisho bila kunipa nafasi ya kupumua hata kidogo. I salute u guys!!Nimemwambia hapo comment ya juu, maana nimemsoma kwa masaa kadhaa nimegundua ana tabia ya kukasirika na kununa nuna as if yeye ndio Pisi kali 🤣 🤣 🤣