Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Aisee mpaka muda huu ni 0-0 pamoja na kutumia gobole kweli I am a bad shooter sin target kabisa 😌😌😌😌
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™†β€β™‚οΈ
 
Hii naona haituhusu sie ambao hatuhitaji wapenzi humu JF. Naanzaje kufall kwa anonymous IDs kwa mfano [emoji848]
Naam kusema huyu ni mzuri au mbaya ni mawazo yako tu pindi akili yako itakaposema huyu ni mzuri atakuwa kweli mzuri na utampenda na pindi akili yako itakaposema huyu ni mbaya simpendi na kweli utakuwa humpendi mm nina dada angu kaolewa mwaka 2016 kupitia mtandawo wa kijamii jamaa alikuwa anakaa Arusha na yeye dada anakaa Dar hadi leo wapo pamoja hiyo imekaaje ila ww unasubiri mpk uone kwa macho ndio upende je umeshaona wangapi kwa macho na je mlipoanzisha uhusiaono mpk leo vp bado mpo wote au ndio kama mmπŸ˜‡πŸ˜‡
 
Back
Top Bottom