Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Mnatutesa sana nyie watu😁Kanisani. Huku jf tupo sie wapenda vyura na sura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnatutesa sana nyie watu😁Kanisani. Huku jf tupo sie wapenda vyura na sura
Nakusalimu pia kaka.Nakusalimu kwa jina la Jf madam.
Uzuri udugu wetu una mwanzo, ila hauna mwisho 😊😊😊Kabithaaa Mjomba wangu😘!
Nilihisi tu hauko sawa, ondoa like yako kwenye comment yangu tunatiana NUKSI aisee..[emoji34]We uliekuwa rijali hongera mkuu
Umeona eeehh!! Ndoivo mjomba!!Uzuri udugu wetu una mwanzo, ila hauna mwisho 😊😊😊
😅😅😅 maji tele tele kabisa.. aunt yangu napenda ufurahi upate kila kilicho ndani ya utajiri wetuNational Anthem Mjomba wangu sina shaka nae kabisa Lazima aniletee thoda na maji ya uzimaa kabisa!
Kwamba madam ndio lina tatizo gani kwani🙄🙄🙄!!!?Nakusalimu pia kaka.
Halafu ukiniitaga madam natamanigi nikunase makonzi ujue😆
Mzungu mweusi 😁😁Wewe ni mzungu Sana,Mimi nakukubali kinyama Yani. Ila pm nitakuja kutusalimia tu. 😀
SawaNilihisi tu hauko sawa, ondoa like yako kwenye comment yangu tunatiana NUKSI aisee..[emoji34]
Iiiiiiiiiggggggggggwweeeeeeeeeeehhhhh 💃🤸🤸🤸!!😅😅😅 maji tele tele kabisa.. aunt yangu napenda ufurahi upate kila kilicho ndani ya utajiri wetu
Sipendi kuitwa madamKwamba madam ndio lina tatizo gani kwani🙄🙄🙄!!!?