Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Wazee, naombeni tugawane mmoja mmoja. Mimi nilimchagua sophy27 tangu awali.

Lakini naona Satoh Hirosh mzabzab Glenn wanamnyemelea. Hebu nendeni kwa wengine.

Nakadori nakuomba uwe mlinzi wangu katika hili. Naona wivu. Natamani kujinyonga.
Mimi sijanyemelea nimeitwa na nimetumiwa hadi nauli mkuu.
Basi tukutane kwake achague mmoja lakini tusigombane🤣🤣
 
Kakutumia mpaka nauli?

Basi najitoa katika ligi. Inshallah na iwe kheri kwenu.

Ni ngumu mno kumtenganisha mwanamke aliyemng'ang'ania mwanaume.
Mkuu haya ni masihara tu.
Pambania kombe huenda huyo ni mkeo.
Huyu ni mtani wangu usiogope kaka
 
Ogopa sana mwanamke aliye tayari kutumia visenti vyake kwa ajili ya mwanaume. Humuambii kitu.

Sasa visenti vyangu nikimhonga, anavielekeza kwa Glenn

Hapana aisee. Naishia hapa. Ligi haina balance.
Na wewe unamsikiliza Glenn ?? Shauri yako
 
Ogopa sana mwanamke aliye tayari kutumia visenti vyake kwa ajili ya mwanaume. Humuambii kitu.

Sasa visenti vyangu nikimhonga, anavielekeza kwa Glenn

Hapana aisee. Naishia hapa. Ligi haina balance.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣umenichekesha sana.
sophy27 msikilize kijana huyu
 
Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.

Sasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.

Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...

mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.

Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.

Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Duuuuuh
Kuna ambao tumeshatukanwa DM hebu tukae kimya
 
Back
Top Bottom