Ngoja tumalize Uapisho wa Ruto na Maziko ya Bi. Eliza nifanye minor rushuffle kwani Wananchi Wanalalamika mno

Ngoja tumalize Uapisho wa Ruto na Maziko ya Bi. Eliza nifanye minor rushuffle kwani Wananchi Wanalalamika mno

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Ule wakati wa Mtanzania Mmoja yeye na Familia yake sasa kwenda kuishi Burundi kama anavyotutaka Wengine tukaishi huko inakaribia.
 
Maza sijui aliwaza nini kumuweka savimbi pale...au alitaka mtu mwenye roho ya kikatili ili amsaidie
 
Ule wakati wa Mtanzania Mmoja yeye na Familia yake sasa kwenda kuishi Burundi kama anavyotutaka Wengine tukaishi huko inakaribia.
ukiona ID hii ipo hewani basi jua ile nyingine tayari imeshakula ban.

popoma bhana.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Maza sijui aliwaza nini kumuweka savimbi pale...au alitaka mtu mwenye roho ya kikatili ili amsaidie
Hata tuliokuwa tunamuunga mkono ametuangusha.

Tatizo la Ccm ni cartels zao hawana tofauti na magenge ya Dawa za kulevya.

Dr Charles Kimei yupo ni Mtaalam wa mambo ya fedha na ni mtu mzima lakini hatumiki wanajazwa wahuni kwenye wizara sensitive, hapo ujuwe hakuna maendeleo yanayotafutwa zaidi ya maslahi ya magenge yao ya kihuni, inaonekana Dr Charles Kimei si mwenzao.
 
Jamaa atatumbuliwa hilo liko wazi kama uchi wa mbuzi lakini atakua katolewa kafara ili wakubwa wake wapate sifa. Siasa achana nayo yote yaliyotokea walishauriana na kuafikiana ila mzigo wa lawama anatupiwa yeye alafu wakubwa wanashangiliwa.

Tengeneza tatizo kisha tatua tatizo. Walimuweka wakashauriana na kuafikiana matozo yao ila lawama anatwishwa yeye.

Lakini pia jamaa anaponzwa sana sana na mdomo wake, ile kauliza "wasiotaka tozo wahamie Burundi" itamgharimu sana sana sana. Kuna mdau hapa jf alisema hata kale ndoto ka kuupata uraisi kamezimwa kabisa na kauli hiyo.

Kauli inatafsiri nyingi ya majifuno, kujikweza, ubabe, ujuaji, ubinafsi, utemi na ulimbukeni. Kama uwaziri tu unamfanya kua na majivuno kiasi hicho akiwa raisi itakuwaje ?!
 
Jamaa atatumbuliwa hilo liko wazi kama uchi wa mbuzi lakini atakua katolewa kafara ili wakubwa wake wapate sifa. Siasa achana nayo yote yaliyotokea walishauriana na kuafikiana ila mzigo wa lawama anatupiwa yeye alafu wakubwa wanashangiliwa.

Tengeneza tatizo kisha tatua tatizo. Walimuweka wakashauriana na kuafikiana matozo yao ila lawama anatwishwa yeye.

Lakini pia jamaa anaponzwa sana sana na mdomo wake, ile kauliza "wasiotaka tozo wahamie Burundi" itamgharimu sana sana sana. Kuna mdau hapa jf alisema hata kale ndoto ka kuupata uraisi kamezimwa kabisa na kauli hiyo.

Kauli inatafsiri nyingi ya majifuno, kujikweza, ubabe, ujuaji, ubinafsi, utemi na ulimbukeni. Kama uwaziri tu unamfanya kua na majivuno kiasi hicho akiwa raisi itakuwaje ?!
Zitto aliposema nchi inaongozwa na washamba wengi hamkumuelewa.
 

Attachments

  • FB_IMG_1662065452879.jpg
    FB_IMG_1662065452879.jpg
    50.1 KB · Views: 3
Hata tuliokuwa tunamuunga mkono ametuangusha.

Tatizo la Ccm ni cartels zao hawana tofauti na magenge ya Dawa za kulevya.

Dr Charles Kimei yupo ni Mtaalam wa mambo ya fedhana ni mtu mzima lakini hatumiki wanajazwa wahuni kwenye wizara sensitive, hapo ujuwe hakuna maendeleo yanayotafutwa zaidi ya maslahi ya magenge yao ya kihuni, inaonekana Dr Charles Kimei si mwenzao.
unataka wazee ili muibe vizuri sio?!!
kamwe haiwezekani....
Rais hapangiwiiii......huyuhuyu mwigulu anafaa na anatosha kabisaa.......
Nchi haiwezi kuendeshwa bila kukusanya mapato.
maendeleo hayaji kwa porojo.

hata hilo genge la Chadema linalo mpiga Waziri linajua kuwa bila jitihada ya kukusanya mapato nchi haiwezi kupiga hatua ila wanafanya maksudi kupinga ili awamu hii 6 ishindwe kutekeleza malengo ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Mikakati ya kuwabeza na kuwakatisha tamaa Mawaziri wanao msaidia kwa dhati Rais inafahamika/wanafahamika.
kamwe msidhani viongozi hawalijui hilo!! hizi sio zama za kupika majungu na yakaiva.
 
unataka wazee ili muibe vizuri sio?!!
kamwe haiwezekani....
Rais hapangiwiiii......huyuhuyu mwigulu anafaa na anatosha kabisaa.......
Nchi haiwezi kuendeshwa bila kukusanya mapato.
maendeleo hayaji kwa porojo.

hata hilo genge la Chadema linalo mpiga Waziri linajua kuwa bila jitihada ya kukusanya mapato nchi haiwezi kupiga hatua ila wanafanya maksudi kupinga ili awamu hii 6 ishindwe kutekeleza malengo ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Mikakati ya kuwabeza na kuwakatisha tamaa Mawaziri wanao msaidia kwa dhati Rais inafahamika/wanafahamika.
kamwe msidhani viongozi hawalijui hilo!! hizi sio zama za kupika majungu na yakaiva.
Chawa kama chawa, mnauza utu wenu Kwa smartphone tu pumbavu kabisa.

Changudowa ana thamani kuliko wewe chawa mpumbavu.
 
Hata tuliokuwa tunamuunga mkono ametuangusha.

Tatizo la Ccm ni cartels zao hawana tofauti na magenge ya Dawa za kulevya.

Dr Charles Kimei yupo ni Mtaalam wa mambo ya fedhana ni mtu mzima lakini hatumiki wanajazwa wahuni kwenye wizara sensitive, hapo ujuwe hakuna maendeleo yanayotafutwa zaidi ya maslahi ya magenge yao ya kihuni, inaonekana Dr Charles Kimei si mwenzao.
Wanaona mpaka wamuingize kwenye system atawachelewesha.
 
Hata tuliokuwa tunamuunga mkono ametuangusha.

Tatizo la Ccm ni cartels zao hawana tofauti na magenge ya Dawa za kulevya.

Dr Charles Kimei yupo ni Mtaalam wa mambo ya fedhana ni mtu mzima lakini hatumiki wanajazwa wahuni kwenye wizara sensitive, hapo ujuwe hakuna maendeleo yanayotafutwa zaidi ya maslahi ya magenge yao ya kihuni, inaonekana Dr Charles Kimei si mwenzao.
Ccm wanatembea kwenye cycle yao tu msemo wa jk "ccm ina wenyewe" wakitajwa mawaziri majina ni yale yale tu nape, january, 😏😏
 
Maza sijui aliwaza nini kumuweka savimbi pale...au alitaka mtu mwenye roho ya kikatili ili amsaidie
Ni Takwa Kuu la Fisadi Mstaafu wa Pwani ili Kulinda Mali zake nyingi za ndani na nje ya Tanzania na Maslahi yake ndani ya Klabu ya Yanga kupitia Kampuni yake Kificho ya MSG.
 
unataka wazee ili muibe vizuri sio?!!
kamwe haiwezekani....
Rais hapangiwiiii......huyuhuyu mwigulu anafaa na anatosha kabisaa.......
Nchi haiwezi kuendeshwa bila kukusanya mapato.
maendeleo hayaji kwa porojo.

hata hilo genge la Chadema linalo mpiga Waziri linajua kuwa bila jitihada ya kukusanya mapato nchi haiwezi kupiga hatua ila wanafanya maksudi kupinga ili awamu hii 6 ishindwe kutekeleza malengo ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Mikakati ya kuwabeza na kuwakatisha tamaa Mawaziri wanao msaidia kwa dhati Rais inafahamika/wanafahamika.
kamwe msidhani viongozi hawalijui hilo!! hizi sio zama za kupika majungu na yakaiva.
...Wale Wale Walamba Asali!....![emoji57][emoji57]
 
Ccm wanatembea kwenye cycle yao tu msemo wa jk "ccm ina wenyewe" wakitajwa mawaziri majina ni yale yale tu nape, january, 😏😏
Nimeona hata short list ya wagombea ubunge wa EA majina ni yaleyale, kina Pasco Mayalla fyekelea mbali.
 
Back
Top Bottom