alafu kuna ndugu yangu Ardhi amenipa mchongo kuwa makamu wenu wa rais anahangaika kununua shamba la 400,000 Acres alime mahindi. yaani VP ameona njaa kwenye nchi yake anaigeuza fursa ya hela [emoji23][emoji23][emoji23]. now i do believe Kunya is man eat man country. nyie siyo watu kabisa.