Ngoja tupeleke mahindi zimbabwe kwa ndugu zetu . nyie si mligoma kununua unga?

Ngoja tupeleke mahindi zimbabwe kwa ndugu zetu . nyie si mligoma kununua unga?

Luton4554

Member
Joined
Apr 25, 2019
Posts
67
Reaction score
99
alafu kuna ndugu yangu Ardhi amenipa mchongo kuwa makamu wenu wa rais anahangaika kununua shamba la 400,000 Acres alime mahindi. yaani VP ameona njaa kwenye nchi yake anaigeuza fursa ya hela [emoji23][emoji23][emoji23]. now i do believe Kunya is man eat man country. nyie siyo watu kabisa.

IMG_5353.JPG
IMG_5354.JPG
 
Hawana jeuri ya kukataa unga hawa [emoji23][emoji23][emoji23] ni swala la muda tu utaona, alafu mbona hizi treni zinafanana na SGR ya kenya .
alafu kuna ndugu yangu Ardhi amenipa mchongo kuwa makamu wenu wa rais anahangaika kununua shamba la 400,000 Acres alime mahindi. yaani VP ameona njaa kwenye nchi yake anaigeuza fursa ya hela [emoji23][emoji23][emoji23]. now i do believe Kunya is man eat man country. nyie siyo watu kabisa.

View attachment 1213241View attachment 1213242
 
Kuuza mahindi Zimbabwe kuna faida
kubwa maana hata usafirishaji ni wetu. Kama Kenya itanunua basi shipment ifanywe kwa meli! Bakhresa ships!
 
mahindi tutayafuata Mexico, Brazil na Zuid-Afrika.
kuleni mahindi yenu wenyewe
 
Back
Top Bottom