Ngolo Kante anastahili tuzo ya Ballon d'or kwa Mwaka 2021

Ngolo Kante anastahili tuzo ya Ballon d'or kwa Mwaka 2021

Tuzo kama hizo hawapewi wabeba kuni, hupewa wachezaji ambao wana 'star appeal', yaani aina ya wachezaji mshabiki wa kawaida yuko tayari kununua tiketi ghali kwaajili ya kuburudishwa na uwezo wake akiwa na mpira miguuni mwake.
 
Tuzo kama hizo hawapewi wabeba kuni, hupewa wachezaji ambao wana 'star appeal', yaani aina ya wachezaji mshabiki wa kawaida yuko tayari kununua tiketi ghali kwaajili ya kuburudishwa na uwezo wake akiwa na mpira miguuni mwake.
Hii tuzo imekaa kibiashara zaidi,ni uhuni uhuni tu hutumika kumpata mchezaji wakumpa wamtakao wao.
 
Ninavyoona kuna wachezaji kama wawili au watatu wameandaliwa kushinda hii tuzo inasubiriwa tu timu zao za taifa zitaperform vipi kwenye mashindano ya Euro 2020.

Kwa mfano kama Harry Kane akiisaidia England kuwa bingwa basi Balon'dOr itakuwa ni yake.
 
Screenshot_2021-05-30-02-36-57-26.jpg


Ubaguzi Duniani ni tatizo.
Takwimu zinampigania mwamba.
Anastahili tuzo. Acha tuone kama watampa
 
Acheni mihemko vijana, huyu Kante hadi miezi miwli tu nyuma hata namba ya uhakika alikua hana hapo Chelsea, ku performce mechi mbili tatu ndio awe mchezaji bora ?

Lewandowski ndio anaestahiki mpaka sasa. Na baada ya mashindano ya Euro yuyapata picha kamili nani ana deserve
 
Back
Top Bottom