BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Huyo ni moyo wa Team Mkuu. Kwani imeandikwa wapi kwamba tuzo hiyo ni kwa Wafunga magoli tu?
Yaan mchezaji anayekaba ndio achukue ballond'or ,,never ever ...
Harafu hio ni biashara usifikiri wanatoa kijinga kijinga ,wataua bland yao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]