Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu !!!!! Kalalaleki [emoji23][emoji23]Wameanza kuitana PM!!! Kuckia kwa kenge nikupiga mpk masikio yatoe damu
Mkuu nawezaje kuzima auto play video za FB?Naona kama vyote vinafanana mkuu, na kama unayo hio laki vyema uende Supakasi Voda.
Facebook lite umejaribu?Mkuu nawezaje kuzima auto play video za FB?
aisee zinanikatia data sana
Hapana mkuuFacebook lite umejaribu?
Speed ikoje mpwa? Isije kuwa ndo kasi ya kinyonga Kimnyato!!TIGO POST PAID:
- 15 GB kwa 15,000
- 35 GB kwa 35,000
- 48 GB kwa 40,000
- 72 GB kwa 60,000
- 120 GB kwa 100,000
Gharama ya usajili utalipia kiasi kinacholingana na bei ya bando unalotaka kuungwa
Bando utalochagua utakuwa unaungwa kila tarehe 1 ya mwezi
Kila mwezi inabidi ulipie bando unaloungwa, usipolipa lain inafungwa na unadaiwa deni.
AIRTEL SME:
A. Vifurushi vya sme bila kununua router ya airtel
B. Vifurushi vya sme ukinunua router ya airtel inayouzwa elf 50
- 22 GB kwa 20,000
- 35 GB kwa 30,000
- 60 GB kwa 50,000
Hakuna gharama za usajili, wanachohitaji ni Tin Number na leseni ya biashara hata iwe ya kibanda.
- 22 GB kwa 20,000
- 35 GB kwa 30,000
- 65 GB kwa 50,000
- 100 GB kwa 75,000
- 200 GB kwa 100,000/=
huna wajibu wa kulipia kila mwezi, mambo yakitaiti unaweza nunua kifurushi cha chini au kusubiri mfuko ukae sawa
unachagua kifurushi cha kununua, mwezi huu unaweza nunua cha elf 20 mwezi ujao cha elf 50
CONCLUSION
Mimi tigo post paid nilijiunga mwaka jana kabla hawajabadili vifurushi, huwa naungwa gb 80 kwa elf 60 kila mwezi. hapa nilipo napima mzani kwasababu kifurushi changu nacho kipo fresh si haba lakini kama ningekuwa nalipia vifurushi hivi vya sasa ningehamia airtel fasta tu.
tafuta eneo zuri lenye mtandao, ona hyo speed ninayptaga na sometime inaenda hadi 70Mb/a.Tatizo la airtel ni speed tu
Sasa ukitegemea kutafuta eneo ndo shida inaanzia hapotafuta eneo zuri lenye mtandao, ona hyo speed ninayptaga na sometime inaenda hadi 70Mb/a.View attachment 2609414
basi acha kulaumu.Sasa ukitegemea kutafuta eneo ndo shida inaanzia hapo
Mkuu ukipost siku nyingine hizo IP address na location uzi mask zisionekane, si salama kutuma kwenye public forum.tafuta eneo zuri lenye mtandao, ona hyo speed ninayptaga na sometime inaenda hadi 70Mb/a.View attachment 2609414
Haya sawabasi acha kulaumu.
sawa mkuu japokuwa mimi sina chochote cha kupotezaMkuu ukipost siku nyingine hizo IP address na location uzi mask zisionekane, si salama kutuma kwenye public forum.
Subiri watu wapige hela halafu ushahidi wote uoneshe wewe ndiye umeiba, upewe kesi, hapo ndipo utajua huna cha kupoteza ama unacho.sawa mkuu japokuwa mimi sina chochote cha kupoteza
nitawaloga.Subiri watu wapige hela halafu ushahidi wote uoneshe wewe ndiye umeiba, upewe kesi, hapo ndipo utajua huna cha kupoteza ama unacho.
Ungeweza kuroga usingetumia speedtest wewe.nitawaloga.
wajichanganye waone sasa.Ungeweza kuroga usingetumia speedtest wewe.
Fanya hivi nenda setting>>>bonyeza then shuka chini mpaka kwenye neno preferences>>media> bonyeza hapo utaona auto play video na mengineMkuu nawezaje kuzima auto play video za FB?
aisee zinanikatia data sana