daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Vipi kuhusu instaFanya hivi nenda setting>>>bonyeza then shuka chini mpaka kwenye neno preferences>>media> bonyeza hapo utaona auto play video na mengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu instaFanya hivi nenda setting>>>bonyeza then shuka chini mpaka kwenye neno preferences>>media> bonyeza hapo utaona auto play video na mengine
Nitajie hata mmoja kiongozi, chapu aniungeNdio mkuu,
Hata kina Tigo na Airtel wanataka Tin,
Sema kuna wadau humu ukiwapa hela wanakuunga bila tin
geosir
geosirNitajie hata mmoja kiongozi, chapu aniunge
Ama post kwenye huu uzi watakuja Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simuNitajie hata mmoja kiongozi, chapu aniunge
Shida ni kuwa yanaweza kuja na manyang'auAma post kwenye huu uzi watakuja Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu
Imekaaje hii na unajiunga vipi sijaelewa? [emoji848]SUPA KASI YA VODA NDO HABAR YA MJINI
115K Freee internet
hua napeleka gb40 kwa siku yaan mpaka mwez uishe nishamaliza GB buku
TIGO POST PAID:
- 15 GB kwa 15,000
- 35 GB kwa 35,000
- 48 GB kwa 40,000
- 72 GB kwa 60,000
- 120 GB kwa 100,000
Gharama ya usajili utalipia kiasi kinacholingana na bei ya bando unalotaka kuungwa
Bando utalochagua utakuwa unaungwa kila tarehe 1 ya mwezi
Kila mwezi inabidi ulipie bando unaloungwa, usipolipa lain inafungwa na unadaiwa deni.
AIRTEL SME:
A. Vifurushi vya sme bila kununua router ya airtel
B. Vifurushi vya sme ukinunua router ya airtel inayouzwa elf 50
- 22 GB kwa 20,000
- 35 GB kwa 30,000
- 60 GB kwa 50,000
Hakuna gharama za usajili, wanachohitaji ni Tin Number na leseni ya biashara hata iwe ya kibanda.
- 22 GB kwa 20,000
- 35 GB kwa 30,000
- 65 GB kwa 50,000
- 100 GB kwa 75,000
- 200 GB kwa 100,000/=
huna wajibu wa kulipia kila mwezi, mambo yakitaiti unaweza nunua kifurushi cha chini au kusubiri mfuko ukae sawa
unachagua kifurushi cha kununua, mwezi huu unaweza nunua cha elf 20 mwezi ujao cha elf 50
CONCLUSION
Mimi tigo post paid nilijiunga mwaka jana kabla hawajabadili vifurushi, huwa naungwa gb 80 kwa elf 60 kila mwezi. hapa nilipo napima mzani kwasababu kifurushi changu nacho kipo fresh si haba lakini kama ningekuwa nalipia vifurushi hivi vya sasa ningehamia airtel fasta tu.
Siku Hizi hatununui mabando, tunagawana ya maOfisini ya SirikaliTIGO POST PAID:
- 15 GB kwa 15,000
- 35 GB kwa 35,000
- 48 GB kwa 40,000
- 72 GB kwa 60,000
- 120 GB kwa 100,000
Gharama ya usajili utalipia kiasi kinacholingana na bei ya bando unalotaka kuungwa
Bando utalochagua utakuwa unaungwa kila tarehe 1 ya mwezi
Kila mwezi inabidi ulipie bando unaloungwa, usipolipa lain inafungwa na unadaiwa deni.
AIRTEL SME:
A. Vifurushi vya sme bila kununua router ya airtel
B. Vifurushi vya sme ukinunua router ya airtel inayouzwa elf 50
- 22 GB kwa 20,000
- 35 GB kwa 30,000
- 60 GB kwa 50,000
Hakuna gharama za usajili, wanachohitaji ni Tin Number na leseni ya biashara hata iwe ya kibanda.
- 22 GB kwa 20,000
- 35 GB kwa 30,000
- 65 GB kwa 50,000
- 100 GB kwa 75,000
- 200 GB kwa 100,000/=
huna wajibu wa kulipia kila mwezi, mambo yakitaiti unaweza nunua kifurushi cha chini au kusubiri mfuko ukae sawa
unachagua kifurushi cha kununua, mwezi huu unaweza nunua cha elf 20 mwezi ujao cha elf 50
CONCLUSION
Mimi tigo post paid nilijiunga mwaka jana kabla hawajabadili vifurushi, huwa naungwa gb 80 kwa elf 60 kila mwezi. hapa nilipo napima mzani kwasababu kifurushi changu nacho kipo fresh si haba lakini kama ningekuwa nalipia vifurushi hivi vya sasa ningehamia airtel fasta tu.
nenda ofisi za vodacomImekaaje hii na unajiunga vipi sijaelewa? [emoji848]