Ngoma mpya ya Ali Kiba ''Mvumo wa Radi''; Maoni na ushauri

hahaa..binaadamu tunatofauti sana...kwakweli mimi nimeielewa mnooo"" kwa sababu haina cpy za u Nigeria...bonge si la afropop"" mziki mzuri" kabisaa ..rylics zenye heshima "" kila mtu anaweza kuisikiliza"" jamaa ni mchawi wa music aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…