Ngoma mpya ya Ali Kiba ''Mvumo wa Radi''; Maoni na ushauri

Ngoma mpya ya Ali Kiba ''Mvumo wa Radi''; Maoni na ushauri

mbali na kufeli kwenye hii ngoma,hata title tu ya wimbo kafeli kwa maoni yangu...mjina gani huu eti "mvumo wa radi" jina refuuuuu.
 
mbali na kufeli kwenye hii ngoma,hata title tu ya wimbo kafeli kwa maoni yangu...mjina gani huu eti "mvumo wa radi" jina refuuuuu.
Maana yake kwanza nini!??

Huyu unajua mchawi!??

Hilo jina ka la kuzimu.
 
Kwa kweli bado anakazi kubwa sana.
Dogo wa Tandale kamchapa Bonge la GEPU.
Mawingu naona wanajichosha kwelikweli.
Wataelewa tu Dogo alikwisha wajulisha kwamba uwezekano wa kumkwamisha kwa sasa haupo wamekwisha chelewa.
 
hahaa..binaadamu tunatofauti sana...kwakweli mimi nimeielewa mnooo"" kwa sababu haina cpy za u Nigeria...bonge si la afropop"" mziki mzuri" kabisaa ..rylics zenye heshima "" kila mtu anaweza kuisikiliza"" jamaa ni mchawi wa music aiseee
Ina nakala ya Kongo
 
mziki mzuri kabisa ...wameshazoea manyimbo yao ya matusi matusi "" alikiba anawaimbia mziki watu wanaojielewa "" wanaojiheshimu na kuuthamini utu wao "" so kwa sisi ma gentleman ngoma tumeilewa aisee...""
Hahaah
sio mara niipake mate niteleze kama nyoka......mara inama upige deki
 
Bora ingeitwa radi kuliko kuwa na title kama bara bara ya mabasi ya mwendo kasi...
Hivi ni nani huruhusu Kiba akosee kila leo? hivi hiyo ni title ya wimbo au ni mashairi ya wimbo?
 
daaahhhh"" bongo watu wanafiki sana...KINANDA ni bonge la nyimbo lakini wanaajifnya kama hawalioni...yaani kwa upande wangu ndio nyimbo bora ya huu mwaka""sio mchezo aissee
Nakubaliana na wewe.. binafsi toka mwaka umeanza sijasikia wimbo wa kibongo ulonikosha kama kinanda ni mzuri mno then wet ya mdee ni nzuri pia.
 
pitia hii comment" nilikwambia kuwa Kibanda ni balaa ukabisha Jolie Jolie
Kinanda ni balaa aisee tatizo bongo uteam usio na faida ni mwingi... napenda music industry ya Nigeria, ukitoa nyimbo tamu lazima itoboe huku davido, huku wizkid mara tekno, huku mr eazi, pale runtown, hapa timaya, kati mzee wa sisi maria pale patoranking bado hujakuana na tiwa, pale yemi alade.
No wonder disco zao ni 90% nyimbo za nyumbani.
 
pitia hii comment" nilikwambia kuwa Kibanda ni balaa ukabisha Jolie Jolie
Kinanda ni balaa aisee tatizo bongo uteam usio na faida ni mwingi... napenda music industry ya Nigeria, ukitoa nyimbo tamu lazima itoboe huku davido, huku wizkid mara tekno, huku mr eazi, pale runtown, hapa timaya, kati mzee wa sisi maria pale patoranking bado hujakuana na tiwa, pale yemi alade.
No wonder disco zao ni 90% nyimbo za nyumbani.
 
Back
Top Bottom