eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
hivi tuseme tu ukweli..Kwangwaru na hii Radi upi ni wimbo wa kila rika? kaa hlf pima katika fikra zako kwamba kuna siku utamsikia dogo wako kitaa anaimba mvumo wa radi.Wabongo bhana washazoea nyimbo za kwenye vigodoro, inama inama waoneshe unavopiga deki cjui unavochota maji ya kisima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiba hawez kuimba huo upupu ni msanii anaeimba wimbo wa kila rika .. Yaani mvumo wa radi ni mooo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Usinitenge kama napenda kula, do u remember?[emoji3]Wabongo bhana washazoea nyimbo za kwenye vigodoro, inama inama waoneshe unavopiga deki cjui unavochota maji ya kisima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiba hawez kuimba huo upupu ni msanii anaeimba wimbo wa kila rika .. Yaani mvumo wa radi ni mooo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kala maharage ya wapi huyu?[emoji16]ati bila promo yoyote...kwahyo Clouds wameshinda wanapiga daku au???
Hakunaga nyimbo ya kizee wala ya ujana music ukiwa mzuri tu kila mtu anaupendaHuu wimbo sio type ya nyimbo zangu. Imekaa kizee sana.
Alikiba inabidi asome Soko la vijana linataka nini. Type ya hizi nyimbo limeishapita, enzi za akina Fally Pupa.
Maana yake ungekuwa mbaya nisingeusikiliza hata mara 3Nyimbo gani unasikiliza Zaid ya mara kumi kwa maana hiyo hapo ulikuwa una force kuipenda nyimbo ni sikio moja tu
Yote kwa yote tunachojua sisi ni official video na ni nyimbo mpya ya aly kibaHamjaelewa! Yule jamaa anafany vitu kwa malengo.. ule wimbo ameutumia kutangaza kinywaji chake kipya cha MoFaya(kama umeangalia video utaliona hilo) na nyimbo ina maazi ya ki Afrika mpk dress codes zinaonesha.. wimbo unachezeka pia, unataka kufanana na ule Mwana Dar es salamaa.. ni kazi nzuri ya Man Walter..!!
Nyimbo ikiwa mbaya huwezi kusikiliza hata Mara ya pili mkuuKIZURI CHAJIUZA KIBAYA CHAJITEMBEZA
piga mara50 hyo nyimbo uipende banaa otherwise hakuna kitu hapo ZAID ya boost tu
Nyimbo iko bomba sana ndio maana nairudia ingekuwa mbaya hata mda wa kuisikiliza mara kwa mara sifanyiNyimbo yoyote ukiisikiliza mara nyingi hata kama ni mbaya utaiona nzuri tu kwa sababu utakuwa umejiunganisha kisaikolojia na hiyo nyimbo.Ndio mantiki ya kauli ile "uongo ukiongelewa sana uwa ukweli". Ndivyo binadamu tulivyo.
Nyimbo nzuri ukiisikiliza mara ya kwanza tu utaikubali.
Watu wanaleta uteam mpaka wanasahau wimbo mzuriKiba anatoa nyimbo ambayo inafit kwa kila rika, hii ngoma watoto , vijana na wazee lazima waipende hamna namna