Hahaa hebu achana na kiba& platnumz njoo tumsikie dizasta vina-Nobody au tumsikilize mwanadada Fatuma nyoro-Aso kasoro ni Mungu.Kiba ni mfalme
Aisee mahaba ya waziwazi kabisa..Walitegemea kukuta "weka mate niteleze"
Hehehee mfalme haimbagi matusi hata usikilize nyimbo zake 10 huwezi kukuta matusi
Si kweli..!Kiba anatoa nyimbo ambayo inafit kwa kila rika, hii ngoma watoto , vijana na wazee lazima waipende hamna namna
Haaha tuiskilize tu "nobody is safe"[emoji445] [emoji445] [emoji445]Hahaa hebu achana na kiba& platnumz njoo tumsikie dizasta vina-Nobody au tumsikilize mwanadada Fatuma nyoro-Aso kasoro ni Mungu.
Emu isikilize tena bana hubbyAisee mahaba ya waziwazi kabisa..
Ule wimbo ni mbovu sijapata kuona
kwelii kabisa ngoma imetulia npo na mshua muda huu tunaiskiza kweny gar katuliaa naona anatingisha kichwa tuu[emoji12] [emoji4] [emoji4] [emoji4]ngoma classic kwa sie wahenga.....
nzurii sana!! ila SIO kwa vijana ambao hawaja maliza balehe
tunaiskiza apa na mshua tunasafiri naona katulia tuliiii anatingisha kichwa tuNimeisikiliza nyimbo hii zaidi ya mara tano. Ni wimbo wa kawaida sana ila kwasababu umeimbwa na Ali Kiba basi naamini utakuwa mkubwa. CMG wote wamejipanga kuanzia asubuhi kuhakikisha wanamuinua.
Nitarudi badae na maoni yangu...
Sijui man waterNimeipata nyimbo mpya ya alikiba ila aliyenikosha zaidi huyu jamaa sauti yake kama ya kikongo hivi sijui ni nani huyu jamaa jina lake
Sio sauti ya man water ileSijui man water
Sujui sasaSio sauti ya man water ile
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unatafuta basha nini wewe choko?
sasa ningekua timu ya mtu mbona nimesema hao wasanii wenye majina makubwa wanatoa boko yani uyo alikiba na uyo diamond wote mapimbi tu mbona kama wewe!
Mimi sio disciple wa mbwiga yoyote yule.
Naongea facts thats all MF!
Fm academiaNimeipata nyimbo mpya ya alikiba ila aliyenikosha zaidi huyu jamaa sauti yake kama ya kikongo hivi sijui ni nani huyu jamaa jina lake