Ngoma mpya ya Ali Kiba ''Mvumo wa Radi''; Maoni na ushauri

Nimependa aliowashirikisha kuimba kiitikitio wameunogesha ila kiba hana kitu.
 
Mkuu upo kama mimi. Ali kiba anafanya vitu ambavyo hata ukikaa na wanao hujisikii noma kusikiliza au kuangalia kutokana na tamaduni zetu.

Big up Ali kiba. Ngoma nimeielewa
acha tu "" mkuu" tatizo wanashindwa kuelewa kuwa alikiba aliamua kuuacha mziki tu ndio umpatie jina ...ndio maana huwezi kukuta ana jibizana hovyo hovyo na mtu ..au anapost clip zakijinga mitandaoni ili ajipatie kick...so sisi wengine tunavutiwa na hilo pia toka kwake ..kwa sbabu hatupndi "" mambo yaliyokosa ustaarabu
 
hahahahaha noma kweli 170 kavunja rekodi???? hahahahah ngoja ifike 1million ando uropoke iyo rekodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…