Ngoma ya navykenzo ft alikiba - lini

Video yake inabamba usipime, hiyo ni level ya kimataifa
 
Hakuna kitu...
Wimbo mbaya...
Alafu Nah Real aache haraka sana kumuiga Patoranking..!
 


Duh kama umewakamia vile! Utakuwa Ora wa kwenye PAH ONE baada ya jamaa kuwakimbia na kuanzasha kundi lao mmebaki mmebuma maana mlikuwa mnamtegemea Nahreal
 
Kiba hana tofauti na Arsene Wenger,kila siku kuwapa wapenzi matumaini hewa
 
feel good iko vizuri kuliko LINI

LINI imebuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…