CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
- Thread starter
- #21
Mpuuzi kumnunua unazani ni rahisi? inahitaji mtaji mkubwa na kumbuka Serikal inaweza fanya kwa lengo la kuondoa umasikini.Vijana wa mitandaoni kazi kulalamika na kulalamikia serikali tu, huu ni uzwazwa!! Kwanini usimnunue wewe huyo ng'ombe?! Vijana muache ulalamishi, mfanye vitu.
Sent from Moto G
Ndo mwisho wa kufikiri?
Sent using Jamii Forums mobile app