Ng'ombe toka Tanzania: Mnada kwa zamu, ni wakati wa Nairobi county kuuza


Wapigeni mnada basi, hakuna mtz mwenye akili timamu aache mapori yote Tz aende kuchungia Nrb. Mnajipiga vidole halafu mnanusa harufu ?
 
Hii picha ilikuwa mwaka 2014 na si ya Leo tena ulikuwa ni msafara wa Uhuru Kenyatta,sikupunguki vizuri lakini ni ya zamaaaaaaani
 
Fake News, yani ngombe wavuke border halafu watembee 160km bila mtu kujuwa au kuuliza. Kama sio fake news, basi kuna tatizo kwenye serikali yenu.
 
In baba Jesca's voice[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tanzania's minister of Foreign Affairs yupo busy ku-negotiation Ugannda's SGR unlike Amina Mohammed that flew all the way to Dar.
 
Kwa upande mwingine ni sawa ndiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…