BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,174
- 835
Wanajamvi nimekuwa mfugaji wa ng'ombe wa maziwa wa kuchunga kwa miaka kama 10. Hata hivyo nimepata changamoto zake hasa upande wa magonjwa na kesi za majirani kila wakati. Pia wezi wanathaminisha kiurahisi na wakaniibia ng'ombe kama 7. Kwa sasa sina hata 1 kutokana na matukio hayo.
Kufuga siwezi kuacha kwani hapa nilipo biashara ya maziwa ni uhakika na ilifikia wakati napata lita 50 zinanipa elfu 60 kila siku. Nikitoa gharama za uendeshaji nabaki kama 1.5 kwa mwezi.
Nafukiria nianze kufuga wa ndani kama 5 hivi ambapo nitazalisha hadi lita 80 kwa siku ila bado sijaua management regime yake hivyo naomba kujua yafuatayo:
1. Nitahitaji vijana wangapi.
2. Banda liwe na sifa gani?
3. Vitendea kazi vya aina gani
4. Mengineyo kadiri mtakavyoona.
Nawatakia Jumapili njema.
Kufuga siwezi kuacha kwani hapa nilipo biashara ya maziwa ni uhakika na ilifikia wakati napata lita 50 zinanipa elfu 60 kila siku. Nikitoa gharama za uendeshaji nabaki kama 1.5 kwa mwezi.
Nafukiria nianze kufuga wa ndani kama 5 hivi ambapo nitazalisha hadi lita 80 kwa siku ila bado sijaua management regime yake hivyo naomba kujua yafuatayo:
1. Nitahitaji vijana wangapi.
2. Banda liwe na sifa gani?
3. Vitendea kazi vya aina gani
4. Mengineyo kadiri mtakavyoona.
Nawatakia Jumapili njema.