Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujafanya utafiti, ukweli ni kwamba, kura za mwaka huu ni za mioyoni zaidi, wananchi kama wajumbe tu, Magufuli ana wakati mgumuLissu mnampamba sana humu kuliko uhalisia hawezi kufikia hata robo ya Kura za Lowassa 2015 huo ndo ukweli mchungu!
Mioyoni ndo nini ! Ndo mnavyodanganyanaHujafanya utafiti, ukweli ni kwamba, kura za mwaka huu ni za mioyoni zaidi, wananchi kama wajumbe tu, Magufuli ana wakati mgumu
Hamchelewi kuanza kutukana, siasa za ushindani hamziwezi, mlochofanikiwa awamu hii ni kutisha watu.Mioyoni ndo nini ! Ndo mnavyodanganyana
Lowasa slikuwa supported na vyama, 5,Lissu chama kimoja,Lissu mnampamba sana humu kuliko uhalisia hawezi kufikia hata robo ya Kura za Lowassa 2015 huo ndo ukweli mchungu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lissu kushinda Dar hawezi Jpm alishaiteka kisiasa toka 2015 ! Msijidanganyane!
Yes bro atashinda njaa.Aiaee! Yani umeandika kwa kujipendelea basi sawa Lisu atashinda
Kuna yule mpaka kapiga magoti ili apewe kura, mpaka sasa jeshi la akiba wamemaliza wote lakini bado hali ni ngumu sana kwa upande wao. Leo kaingia mchezaji wa mwisho lakini ndiyo kwanza kavuruga zaidi.Lissu akimshinda hashim lungwe tu naandamana peke yangu....yupo tu kama katelekezwa vile kampeni zake hazina ile kitu inaitwa presidential composition.
Labda CCM itumie jesh Ila kikawaida hata chato magu atampita kwa kura chache.Lissu mnampamba sana humu kuliko uhalisia hawezi kufikia hata robo ya Kura za Lowassa 2015 huo ndo ukweli mchungu!
Lissu anapambwa au ndo ukweli wenyewe? Uzuri nilibahatika kuhudhuria mkutano wa Kassim Majaliwa jimboni Mwibara (lililokuwa jimbo la Kangi Lugola), PM alikuwa na watu wachache sana hadi aibu.Akauliza, "wangapi mtampigia kura Mhe.Magufuli?" wakanyosha mikono watu wachache zaidi. Watu wa mkoa wa Mara hawataki ujinga.Lissu mnampamba sana humu kuliko uhalisia hawezi kufikia hata robo ya Kura za Lowassa 2015 huo ndo ukweli mchungu!
Lissu akimshinda hashim lungwe tu naandamana peke yangu....yupo tu kama katelekezwa vile kampeni zake hazina ile kitu inaitwa presidential composition.
People like Polepole who spent most of their time explaining what they have done mean they have done nothing. Development is something which can be seen is not invisible. They are something wrong with this regime i pray day and night for the change cos is only thing we need nowLissu akimshinda hashim lungwe tu naandamana peke yangu....yupo tu kama katelekezwa vile kampeni zake hazina ile kitu inaitwa presidential composition.
Lissu anapambwa au ndo ukweli wenyewe? Uzuri nilibahatika kuhudhuria mkutano wa Kassim Majaliwa jimboni Mwibara (lililokuwa jimbo la Kangi Lugola), PM alikuwa na watu wachache sana hadi aibu.Akauliza, "wangapi mtampigia kura Mhe.Magufuli?" wakanyosha mikono watu wachache zaidi. Watu wa mkoa wa Mara hawataki ujinga.
Lakini Tundu Lissu alikuja palepale baada ya siku kama 4 tangu PM ahutubie pale. Nyomi la pale lilikuwa balaaa tupu. Hata wanaCCM wenyewe wanakiri jamaa huyu ni shida.
Halafu unashangaa eti Dar iwe ngome ya Lissu? Ndiyo,inawezekana kabisa.Na sababu ni hizi:
1.Dar ina wasomi wengi wasio na ajira,hawa wana hasira kinoma na huyo stoneman.
2.Dar bado wana hasira dhidi ya Makonda ambaye alibebwa bebwa sana na Magufuli.Sasa wanataka kumwadhibu Magu kwa kwa maujinga ya Makonda.
3.Uchumi wa watu wengi wa Dar umevurugika ndani ya awamu ya 5. Si unajua wengi wa wakazi wa Dar ni mission towns?
Sasa wewe endelea kupuuza upepo wa TL.