Uchaguzi 2020 Ngome za CCM vs Ngome za CHADEMA

Uchaguzi 2020 Ngome za CCM vs Ngome za CHADEMA

Sio kwenye kura za ndani ya box, labda hizo kura atakazokuwa anatangaza Mahera. Kwenye hili hatubahatishi.
2010 mlibahatisha? 2015 mlipogeuzia gia angani kumbe mlikuwa mnabahatisha? Basi sawa. Nimekuelewa!
 
Kwenye ushindani kuna kushinda na kushindwa, hilo linaeleweka. Tunachotaka hata akishindwa ashindwe kihalali hakuna mwenye tatizo na hilo. Ni kichekesho eti Lisu asishindane maana kuna nadharia kuwa atashindwa, naona na ww unakuja na hiyo nadharia ya kipuuzi kisha unajifanya cdm.
Mimi ni Cdm kindakindaki ila kwenye ukweli lazima niseme
 
2010 mlibahatisha? 2015 mlipogeuzia gia angani kumbe mlikuwa mnabahatisha? Basi sawa. Nimekuelewa!

Hujui unaoongea nini dogo, umesema hakuna mkoa Lisu atapata kura 100,000, nimekuambia sio kwenye box la kura, labda matokeo ya hao Makada wenu wa ccm huko tume. Sasa 2010 na 2015 ina mahusiano gani na maelezo yangu. Halafu hiyo 2010 na 2015 kura za cdm hazikuwa zinapungua bali zilikuwa zinapanda tu.
 
Ngome ya Chadema ilikua imebaki Moshi na Arusha lakini Moshi ndo ivo tena akienda anapigwa mawe na hatimae kahairisha mikutano! Arusha hatuna uhakika nako bado 50/50 influence ya Gambo Arusha ni kubwa kuliko ya Lema.
Imebidi nicheke
 
Kwa hali ilipofikia sasa ni kwamba Mheshimiwa Rais Dkt JPM alisahau kuwekeza kwa wananchi akawekeza zaidi kwenye uwekezaji wa vitu na miradi mbalimbali ndio maaana mambo yamekuwa magumu, kwa hesabu za haraka haraka hizi ndio ngome za Lissu na Ngome Za Magufuli

Lissu;
1. Dar
2. Arusha
3. Mbeya
4. Manyara
5. Iringa
6. Songwe
7. Kigoma
8. Zanzibar
9. Kilimanjaro
10. Mtwara
11. Singida

Magufuli
1. Mwanza
2. Dodoma
3. Tabora
4. Shinyanga
5. Mpanda
6. Katavi
7. Ruvuma
8. Lindi
9. Tanga
10. Simiyu

Hapa naona ngoma nzito kwa CCM ila ushindi utakuwa mwembamba sana inaweza isifike hata asilimia 50, yaani ni kama 49 kwa 48 sehemu zilizobaki uwezekano wa kugawana sawa ni mkubwa kwa makadirio ya wastani wa asilimia 96%
Angalia huko Mbeya leo barabara zina dekiwa,upinzani Tz bado sana mwaka huu Lisu atagawana na Lipumba 20%,zilizo baki za Magu,Magu hakitakiwa afanye kampeni ili aweze kushinda kwa 60%,lakini anafanya ili agaragaze mtu kwa kishindo
 
Angalia huko Mbeya leo barabara zina dekiwa,upinzani Tz bado sana mwaka huu Lisu atagawana na Lipumba 20%,zilizo baki za Magu,Magu hakitakiwa afanye kampeni ili aweze kushinda kwa 60%,lakini anafanya ili agaragaze mtu kwa kishindo
Naona mkuu, ngoja tusubiri matokeo
 
Kwenye ushindani kuna kushinda na kushindwa, hilo linaeleweka. Tunachotaka hata akishindwa ashindwe kihalali hakuna mwenye tatizo na hilo. Ni kichekesho eti Lisu asishindane maana kuna nadharia kuwa atashindwa, naona na ww unakuja na hiyo nadharia ya kipuuzi kisha unajifanya cdm.
ndio
 
Kigoma Chadema imeshakufa jimbo la kigoma mjini ubunge na udiwani ni ACT urais ni CCM
 
Back
Top Bottom