Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
2010 mlibahatisha? 2015 mlipogeuzia gia angani kumbe mlikuwa mnabahatisha? Basi sawa. Nimekuelewa!Sio kwenye kura za ndani ya box, labda hizo kura atakazokuwa anatangaza Mahera. Kwenye hili hatubahatishi.
Mimi ni Cdm kindakindaki ila kwenye ukweli lazima nisemeKwenye ushindani kuna kushinda na kushindwa, hilo linaeleweka. Tunachotaka hata akishindwa ashindwe kihalali hakuna mwenye tatizo na hilo. Ni kichekesho eti Lisu asishindane maana kuna nadharia kuwa atashindwa, naona na ww unakuja na hiyo nadharia ya kipuuzi kisha unajifanya cdm.
Kamanda usiyechoka kutoka CCM hi![emoji2772][emoji2772][emoji2772]Mimi ni Cdm kindakindaki ila kwenye ukweli lazima niseme
2010 mlibahatisha? 2015 mlipogeuzia gia angani kumbe mlikuwa mnabahatisha? Basi sawa. Nimekuelewa!
Mzee wa anfieldCcm ngome hawana tena. Yamebaki CCM masalia, kila kona watu ni Lissu.
Imebidi nichekeNgome ya Chadema ilikua imebaki Moshi na Arusha lakini Moshi ndo ivo tena akienda anapigwa mawe na hatimae kahairisha mikutano! Arusha hatuna uhakika nako bado 50/50 influence ya Gambo Arusha ni kubwa kuliko ya Lema.
Kamanda usiyechoka kutoka CCM hi![emoji2772][emoji2772][emoji2772]
Acha upuuziKamanda usiyechoka kutoka CCM hi![emoji2772][emoji2772][emoji2772]
Angalia huko Mbeya leo barabara zina dekiwa,upinzani Tz bado sana mwaka huu Lisu atagawana na Lipumba 20%,zilizo baki za Magu,Magu hakitakiwa afanye kampeni ili aweze kushinda kwa 60%,lakini anafanya ili agaragaze mtu kwa kishindoKwa hali ilipofikia sasa ni kwamba Mheshimiwa Rais Dkt JPM alisahau kuwekeza kwa wananchi akawekeza zaidi kwenye uwekezaji wa vitu na miradi mbalimbali ndio maaana mambo yamekuwa magumu, kwa hesabu za haraka haraka hizi ndio ngome za Lissu na Ngome Za Magufuli
Lissu;
1. Dar
2. Arusha
3. Mbeya
4. Manyara
5. Iringa
6. Songwe
7. Kigoma
8. Zanzibar
9. Kilimanjaro
10. Mtwara
11. Singida
Magufuli
1. Mwanza
2. Dodoma
3. Tabora
4. Shinyanga
5. Mpanda
6. Katavi
7. Ruvuma
8. Lindi
9. Tanga
10. Simiyu
Hapa naona ngoma nzito kwa CCM ila ushindi utakuwa mwembamba sana inaweza isifike hata asilimia 50, yaani ni kama 49 kwa 48 sehemu zilizobaki uwezekano wa kugawana sawa ni mkubwa kwa makadirio ya wastani wa asilimia 96%
Unakataa salam yangu mkuu?Acha upuuzi
Acha upuuzi.Unakataa salam yangu mkuu?
Wapi Mara mkoa wa nyamongoKagera umiecha wapi?
Naona mkuu, ngoja tusubiri matokeoAngalia huko Mbeya leo barabara zina dekiwa,upinzani Tz bado sana mwaka huu Lisu atagawana na Lipumba 20%,zilizo baki za Magu,Magu hakitakiwa afanye kampeni ili aweze kushinda kwa 60%,lakini anafanya ili agaragaze mtu kwa kishindo
ndioKwenye ushindani kuna kushinda na kushindwa, hilo linaeleweka. Tunachotaka hata akishindwa ashindwe kihalali hakuna mwenye tatizo na hilo. Ni kichekesho eti Lisu asishindane maana kuna nadharia kuwa atashindwa, naona na ww unakuja na hiyo nadharia ya kipuuzi kisha unajifanya cdm.
Kamanda usiyechoka kutoka CCM siasa siyo uadui.Tuendelee kupendanaAcha upuuzi.
Inabidi uweke kiti ukae kabisa maana bado sanaaaaMikoa yote wamekwisha ikataa Ccm,Mikoa yenye nafuu kwa ccm basis hawatapata zaidi ya 35% ya kura zote.Yaani kwa ujumla kama kutakuwa na haki ushindi wa Lisu kwa jumla ni 70-60%
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko Ccm ulinipeleka wewe?Kamanda usiyechoka kutoka CCM siasa siyo uadui.Tuendelee kupendana
Mimi ni Cdm kindakindaki ila kwenye ukweli lazima niseme