Uchaguzi 2020 Ngome za CCM vs Ngome za CHADEMA

Uchaguzi 2020 Ngome za CCM vs Ngome za CHADEMA

Ni bora ukweli usemwe hata kama ni mchungu

Mimi nafuatilia sana kampeni na uchaguzi huu kwa kila mgombea Urais hasa CCM na CHADEMA

Ukweli ni kwamba Nyomi ya watu ni kiashiria kimojawapo kwamba unakubalika kwa wapiga kura au wananchi

Ukweli ni kwamba ngome za CHADEMA au Lissu hadi sasa ni hizi zifuatazo

Dar
Kagera
Mara
Kilimanjaro
Arusha
Mbeya
Iringa
Songwe
Mwanza (hii ngome imishaenda kwa Lissu tuwe tu wakweli)
Manyara
Singida
Kigoma
Geita.

Ngome za CCM zilizobaki hadi sasa ni

Dodoma
Morogoro
Pwani
Katavi
Tanga
Tabora

Bado nafanya utafiti kwa Lindi na Mtwara
 
Back
Top Bottom