Ngono ilitaka kukatisha maisha yangu

Du !! Inahuzunisha mahusiano mengi leo ndiyo hivyo...kuna watu wapo ktk mahusiano kazi yao ni kuzima nuru ya wengine ...isije kuwaka

Sent using i phone x
😨😡😳😰😲😨
Aisee
Huyo kwa avatar ni ww!?
 
Hakika hali inatisha.Katika zama hizi za ARV kauli mbiu iwe " Umdhanie Siye Ndiye"
 
Dah! Kuna watu wauaji! Lkn Mungu ni mwaminifu, alikuepusha na yote. Hao ndo wanafanya walokole kutukanwa kuwa ni wanafiki, kumbe waliingia huko ili kujifariji tu baada ya kupata changamoto kadha wa kadha. "Hawakuwa wa kwetu, lkn walijifanya kuwa wakwetu........." Lakini pia, kuishi kwa kufuata mapenzi ya Mungu ni afya.
 
Kuna mwanamke Alitaka nimtie bila Condom nikagoma. Siku zote nilimtia na Condom na kuna siku alitaka nimdunge Tigo, nikakataa.
Ninaiheshimu Condom sana ingawaje kuna watu hawaiamini. Tutumie Condom wadau na tusijidanganye na vipimo vya chumbani kwani vinaweza visiwe na efficiency kubwa.
Condom inafaa, Mimi ni above 35 ila huwezi Amini kuwa nishaacha wanawake zaidi ya 3 kisa tu, nilikosa Condom. Pia ckumbuki kufanya mapenzi bila Condom na wanawake zaidi ya 4. Ninaweza kuishi na mwanamke hata ni miaka 5 huku nikipiga na Condom siku zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fundisho tosha kaka nakushauli andika kitabu utauza upate hela ya kujikimu kimaisha


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
A
Fundisho tosha kaka nakushauli andika kitabu utauza upate hela ya kujikimu kimaisha


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ahsante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi.
 
Pole kwa mkasa uliokupata, lakini upande mwingine ulikosea mkuu.

Mtu yoyote akijipima mwenyew na akawa mjamzito mara nyingi kipimo husoma +, hii ni kwa sababu ya hali aliyokuwa nayo tumboni.

Ndio maana madaktari hawashauri kabisa kwa mjamzito kupima nyumbani ni lazima wakupime hospital maana wanafahamu jinsi ya kupima na kutofautisha.

Utakuwa ulimhukumu bure dada wa watu na washirika wenzie, niliwahiyashuhudia hayo kwa ndugu yangu.

Kuweni makini mjamzito hapimwi kipimo cha ukimwi nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…