Ni kweli kabisa ila vyumba vya ibada vimelifumbia macho suala hili hawaliongelei kwa undani wanawasubiri waumini wajikwae ili wawaombee wapate miujiza.Pole sana aisee. Hawa mabinti ni kuwa nao makini sana wanaweza kukuua Bila huruma, unapoingia kwenye mahusiano muhimu kujari Afya yako kwanza usiogope kuonekana fala au mshamba. Haya mambo ya kuchomoa na kuchomeka yapo tu. Na miaka kama 2020 hii born with ni wengi sana. Lakini bado wanapenda dudu ivyoivyo hata kama ni wagonjwa.
Tufunge kwa maombi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa ushauri wa kitaalam lakini baada ya hayo yote waumini wenzake walikuja kunifariji kwa kuniombea na kuniambia waliijua hali yake ila walishindwa namna gani ya kunifikishia ujumbe ili niachane nae. Pia kwanini nilipomsihi twende tukapime hospitali alikataa akisema ili wakagundue nini?Pole kwa mkasa uliokupata, lakini upande mwingine ulikosea mkuu.
Mtu yoyote akijipima mwenyew na akawa mjamzito mara nyingi kipimo husoma +, hii ni kwa sababu ya hali aliyokuwa nayo tumboni.
Ndio maana madaktari hawashauri kabisa kwa mjamzito kupima nyumbani ni lazima wakupime hospital maana wanafahamu jinsi ya kupima na kutofautisha.
Utakuwa ulimhukumu bure dada wa watu na washirika wenzie, niliwahiyashuhudia hayo kwa ndugu yangu.
Kuweni makini mjamzito hapimwi kipimo cha ukimwi nyumbani.
Ahsante sana ni umakini wa hali ya juu unahitajika pale unapopata mwenza wako hata mkipima mkakuta hamna maambukizi bado kondom itahitajika hadi baada ya miezi mitatu huku ukimsoma zaidi tabia yake.Pole sana aisee. Hawa mabinti ni kuwa nao makini sana wanaweza kukuua Bila huruma, unapoingia kwenye mahusiano muhimu kujari Afya yako kwanza usiogope kuonekana fala au mshamba. Haya mambo ya kuchomoa na kuchomeka yapo tu. Na miaka kama 2020 hii born with ni wengi sana. Lakini bado wanapenda dudu ivyoivyo hata kama ni wagonjwa.
Tufunge kwa maombi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisaAhsante sana ni umakini wa hali ya juu unahitajika pale unapopata mwenza wako hata mkipima mkakuta hamna maambukizi bado kondom itahitajika hadi baada ya miezi mitatu huku ukimsoma zaidi tabia yake.
Pole kwa mkasa uliokupata, lakini upande mwingine ulikosea mkuu.
Mtu yoyote akijipima mwenyew na akawa mjamzito mara nyingi kipimo husoma +, hii ni kwa sababu ya hali aliyokuwa nayo tumboni.
Ndio maana madaktari hawashauri kabisa kwa mjamzito kupima nyumbani ni lazima wakupime hospital maana wanafahamu jinsi ya kupima na kutofautisha.
Utakuwa ulimhukumu bure dada wa watu na washirika wenzie, niliwahiyashuhudia hayo kwa ndugu yangu.
Kuweni makini mjamzito hapimwi kipimo cha ukimwi nyumbani.
Kanisa linakemea uasherati...mtoa mada kasahau walikua wanafanya uasherati kinyume na maagizo ya Mungu na Kanisa pia...kwa hiyo Kanisa lingewafanya niniAisee mim ningerud huko church nkaomba nije ntoe ushuhuda kama boya vile, then hapo hlo Kanisa ndio hakuna rangi lingeacha ona hyo siku ya ushuhuda
Hapo kwenye upweke hapo....Kuna siku utajikuta umeshindwa unaishia kupiga live band ya hatariBora kubaki mwenyewe tu maana hata mkipima atakuletea tu akiamua kuusaka, upweke nao kizungumkuti aaghriii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa nduguKiuhalisia ukiamua kuwa kwenye mahusiano tu hata kama ni mkeo wa ndoa ni kwamba maisha yako umeyaweka rehani.
Mkuu Mungu Ni mwenye huruma na rehema...huruma yake yapita haki yake...anatupendaUgonge kavu ukiwa na akili timamu halafu utarajie Mungu akulinde!!! Aaagg wapi; inatokea tu! Ukiona hivyo ujue umeandikiwa kifo cha tofauti kama kufa kwenye fumanizi, kuuwawa na wasiojulikana, kufa maji, kuwekewa sumu au kufa kwa njaa!
Hapo kwenye upweke hapo....Kuna siku utajikuta umeshindwa unaishia kupiga live band ya hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh Asante kunitoa tongotongoPole kwa mkasa uliokupata, lakini upande mwingine ulikosea mkuu.
Mtu yoyote akijipima mwenyew na akawa mjamzito mara nyingi kipimo husoma +, hii ni kwa sababu ya hali aliyokuwa nayo tumboni.
Ndio maana madaktari hawashauri kabisa kwa mjamzito kupima nyumbani ni lazima wakupime hospital maana wanafahamu jinsi ya kupima na kutofautisha.
Utakuwa ulimhukumu bure dada wa watu na washirika wenzie, niliwahiyashuhudia hayo kwa ndugu yangu.
Kuweni makini mjamzito hapimwi kipimo cha ukimwi nyumbani.
Amen! You survived to tell the tale. Ukawe ushuhudaMkuu Mungu Ni mwenye huruma na rehema...huruma yake yapita haki yake...anatupenda
Sent using Jamii Forums mobile app
100% true....yaani huwa nawaogopa sana watu wa design hiiUsiwaamini watu wanaojiona wao ni wema kuliko wengine hususani wafia dini wengi wao hutumia dini kama kichaka. Pia ulifanya kosa la kiboya sana japo watu husema mke anapatikana popote kwangu mimi nasemaga ila si ktk nyumba za ibada mara nyingi wengi huingia huko kutafuta faraja after riding a cock carousel during their prime years yaani baada ya ku-retire whoring life na wengi huanzia miaka 27 na kuendelea. Ni watu wachache sana wapo ktk dini kwa roho na kweli wengi ni kichaka tu.