Ngono na mafanikio katika Biashara

Ngono na mafanikio katika Biashara

Habari ndugu zangu.

Naomba kujua kama kuna uhusiano wa kufanya mapenzi nje ya mke au mume wako then ikapelekea anguko katika Biashara.

Je, ukifanya ngono na mtu asiye wako kuna laana inaweza tokea au ni nadharia tuu. Je, nikweli matajiri huwa hawachepuki?
Kuna connection kubwa sana hapo hasa kama mmojawenu nyie wanandoa ana nyota kali kisha akaenda kuchepuka na kukutana na mtu mwenye gundu ni hatari sana hii kitu
.. Na hapa si ishu ya biashara tuu.. Ukiwa na project yoyote hata ya ujenzi wa nyumba epuka tamaa za kuchepuka! Mradi unaweza ufike mahali ufie hapohapo
 
Madem wengi wanakupa changamoto jinsi ya kuwaridhisha bila familia yako kuteteleka.
Unaweza ukafilisika kama hautachukua hatua au ukafanikiwa zaidi kwa kuongeza bidii katika kazi ili uendelee kumiliki mizigo yote na hata kuongeza na mingine.


Nipo positive wazee.
 
Hapana ngono inatumika sana huharibu biashara ama mipango yoyote mizuri ya kikazi au kimaisha
Kuna ndugu mmoja miaka ya nyuma kidogo mkoa wa morogoro Ni mfanya biashara wa maduka, hotel na baa.

Alikua akituhumiwa Sana kutembea na wadada kadhaa na mwishowe akafumaniwa lakini mpaka leo hii yupo kwenye reli hajatetereka Wala kushuka kiuchumi.
 
Vaaa Kondom ndugu yangu!!!yaani Nyama kwa nyama maji kwa maji lazima uondoke na balaaa!!!
 
Aziniye na mwanamke hana akili,maana anafanya jambo la kumuangamiza. so,ukitaka laana na mabalaa ya ajabu ajabu fanya uzinzi. Kuna roho ya kufifisha mafanikio iko kwenye uzinzi.trust this!
Inakuaje kwa anayezini na mwanaume? Haimuhusu?
 
Uhusiano upo tena mkubwa sana.


Usiparamie wanwake yalioshindikana huko halafu ukadhani hautachukua mikosi.Mtu katoa mimba 10,kajichubua peeee,kucha bandia,matako bandia,nywele bandia,kope bandia,chale mwili mzima,chini huko uchi unaungwa na vipipi,marashi sijui ya jini maana demu mwenyewe kuna mda anapandisha mashetani.

Wewe kwa akili yako,mwanamke km huyu unalala nae nyama kwa nyama.Unadhani hautachukua mikosi?????unataka kuonekana kidume kwa mambo ya kipuuzi ???

Unafanya energy exchanging na mtu mwenye mambo kibao usijue kwenye ulimwengu wa roho jinsi unavyojiingiza kwenye matatizo...

Kila kitu kinaanza kutokea kwenye ulimwengu wa roho.Hujawhi kumiliki chochote km kwenye ulimwengu wa roho hujaruhusu kumiliki.

Ukiwa kwenye mahusiano kuna mawili wewe utaiga tabia za uliyenae au yeye ataiga zako au mtaigana.Ukiwa na rafiki hivyo hivyo

Ukienda kijijini kabisa kukaa utaiga tabia zao au wao wataiga zko au mtaigana.

Sasa km miingiliano ya kawaida tu mtu anapoteza sifa yake ya asili,mali,utu wake sembuse ya nyama to nyama.
Duh,hii ni hatari,Kwahiyo Hata Billgate naye karibuni atafilisika,maana nimesoma mahali wanasema kisa cha kuachana na mkewe ni kuwa aligundulika anachepuka...
 
Uhusiano upo tena mkubwa sana.


Usiparamie wanwake yalioshindikana huko halafu ukadhani hautachukua mikosi.Mtu katoa mimba 10,kajichubua peeee,kucha bandia,matako bandia,nywele bandia,kope bandia,chale mwili mzima,chini huko uchi unaungwa na vipipi,marashi sijui ya jini maana demu mwenyewe kuna mda anapandisha mashetani.

Wewe kwa akili yako,mwanamke km huyu unalala nae nyama kwa nyama.Unadhani hautachukua mikosi?????unataka kuonekana kidume kwa mambo ya kipuuzi ???

Unafanya energy exchanging na mtu mwenye mambo kibao usijue kwenye ulimwengu wa roho jinsi unavyojiingiza kwenye matatizo...

Kila kitu kinaanza kutokea kwenye ulimwengu wa roho.Hujawhi kumiliki chochote km kwenye ulimwengu wa roho hujaruhusu kumiliki.

Ukiwa kwenye mahusiano kuna mawili wewe utaiga tabia za uliyenae au yeye ataiga zako au mtaigana.Ukiwa na rafiki hivyo hivyo

Ukienda kijijini kabisa kukaa utaiga tabia zao au wao wataiga zko au mtaigana.

Sasa km miingiliano ya kawaida tu mtu anapoteza sifa yake ya asili,mali,utu wake sembuse ya nyama to nyama.
Kuna mademu watamu sana ukichepuka nao....mikosi weka pembeni
 
Habari ndugu zangu.

Naomba kujua kama kuna uhusiano wa kufanya mapenzi nje ya mke au mume wako then ikapelekea anguko katika Biashara.

Je, ukifanya ngono na mtu asiye wako kuna laana inaweza tokea au ni nadharia tuu. Je, nikweli matajiri huwa hawachepuki?
hiyo ni kweli mkuu,
kuna mwanamke ukiingiliana nae tu kimwili,utaandamwa na mikosi balaa tena usijeshangaa ndo ikawa kama tiketi ya kufilisika kabisa japo inahitaji akili kulijua hilo maana huwa halitokei vuup.

pia kuna mwanamke ukikutana nae leo kimwili ndani ya siku 2 tu lazma utaanza kuona mambo yanabadilika hii nna ushahid nalo kabisa japo ndo hvyo huyu kiumbe tulipotezana kiajabu ajabu
 
Back
Top Bottom